Igangilonga
Senior Member
- Mar 11, 2006
- 133
- 27
Wadau naomba nililete hili kwenu ili tushauriane, mimi kiukweli linanikwaza mnooo jinsi wizi huu wa kimachomacho tunaofanyiwa watanzania bila wenyewe kujijua wala kufikiri......
Mwananchi akitaka kuweka mita ya LUKU kwake analipia zaidi ya laki 450 na bado mita inabakia kuwa ya Tanesco. Mwananchi akitaka kuvuta umeme kwake anatakiwa alipie nguzo moja sh. milioni 1, kwahiyo kama utatakiwa kuvuta nguzo tatu utalipa milioni 3 n.k. Wakati huo huo, mwananchi mwingine jirani na huyo aliyelipa 3 milion akitaka kuvuta umeme anafungiwa kutoka katika zile nguzo alizolipia mwenzie (manake hapo zinakuwa tayari ni za Tanesco) na anatozwa hela fulani, je sio kwamba wanamuonea yule alievuta mwanzo? Je hatakiwi na yeye kuwa compensated some amount kutoka kwa wale ambao watavuta kutoka katika nguzo alizoshalipia yeye mamilioni? Badala yake hela ya wateja wanaofuata inaliwa na Tanesco as if zile nguzo waliziweka wao bure katika kutoa huduma kwa jamii kumbe walimuuzia mwananchi wa kwanza kuvuta katika eneo hilo........mimi sielewi jamani huu utaratibu wao.......KAMA KUNA ANAEJUA WANAFANYAJE AU KAMA KUNA MTU WA TANESCO NAOMBA ANITOE DUKUDUKU LANGU HILI!!
Mwananchi akitaka kuweka mita ya LUKU kwake analipia zaidi ya laki 450 na bado mita inabakia kuwa ya Tanesco. Mwananchi akitaka kuvuta umeme kwake anatakiwa alipie nguzo moja sh. milioni 1, kwahiyo kama utatakiwa kuvuta nguzo tatu utalipa milioni 3 n.k. Wakati huo huo, mwananchi mwingine jirani na huyo aliyelipa 3 milion akitaka kuvuta umeme anafungiwa kutoka katika zile nguzo alizolipia mwenzie (manake hapo zinakuwa tayari ni za Tanesco) na anatozwa hela fulani, je sio kwamba wanamuonea yule alievuta mwanzo? Je hatakiwi na yeye kuwa compensated some amount kutoka kwa wale ambao watavuta kutoka katika nguzo alizoshalipia yeye mamilioni? Badala yake hela ya wateja wanaofuata inaliwa na Tanesco as if zile nguzo waliziweka wao bure katika kutoa huduma kwa jamii kumbe walimuuzia mwananchi wa kwanza kuvuta katika eneo hilo........mimi sielewi jamani huu utaratibu wao.......KAMA KUNA ANAEJUA WANAFANYAJE AU KAMA KUNA MTU WA TANESCO NAOMBA ANITOE DUKUDUKU LANGU HILI!!