Nawapongeza tanesco kwa kuwa na simu za huduma kwa wateja ambazo zinapatikana na kuweza kukusaidia. Sio km makampuni ya simu lkn simu zao hazipatikani.
Jana nilikua na tatizo la luku usiku nikapiga simu ya landline nikawapata wakanielekeza simu ya mobile na nikapiga nikampata mhudumu nae akanisaidia.
Pls airtel, voda, tigo na zantel jifunzeni kuwa na hotline nrs
Jana nilikua na tatizo la luku usiku nikapiga simu ya landline nikawapata wakanielekeza simu ya mobile na nikapiga nikampata mhudumu nae akanisaidia.
Pls airtel, voda, tigo na zantel jifunzeni kuwa na hotline nrs