Mimi nimelipia Bukoba TANESCO kwa ajili ya umeme wa kijijini,jibu ni ilo ilo kuwa hawana LUKU,sasa ni mwezi wa tano toka nilipe karibu ya laki 6 kwa ajili ya umeme.Ushauri wa bure kwa TANESCO-Waondoe gaharama ya mita za LUKU kwenye charge yao ya kuwekewa umeme,kisha waruhusu watu binafsi kuagiza na kuuza LUKU madukani ili watu wawe free kununua LUKU popote zinapopatikana,vinginevyo kukaa na fedha za mteja aliyelipia kuunganishiwa umeme kwa muda mrefu siku moja mteja ata cancel nia ya kuwekewa umeme na kuwapeleka TANESCO mahakamani kudai interest kwa fedha mliyo kaa nayo bila kuunganisha umeme.