Ukweli sina maneno laini yanayofaa kutumika kueleza hisia zangu dhidi ya shirika hili la umma! Ni lini yamepita japo masaa 12 mfululizo bila umeme kukatika? Sikumbuki. Leo tu wamekata na kuwasha mara 6 mchana na sasa hivi ni giza! Hawasemi kama kuna mgawo, marekebisho wala nini. Ni hujuma au nini? Hayo maendeleo yatapatikanaje bila nishati hii muhimu ya uhakika? Ukweli TANESCO, NAICHUKIA.... NAICHUKIA KULIKO CHOCHOTE !!!