Hili shirika la tanesco bukoba mbona mnatutesa maana toka jana saa 12jioni walipokata umeme haujarudi hadi leo na hawajatoa taarifa yoyote ile kwa waathirika wa tatizo hili. Au ndo kusema ni mgao??? Maana na mkoa huu saa 12 na nusu asubuhi utadhani ndio saa 11 kasoro alfajiri kwa dar. TUNAOMBA WAHUSIKA MTUJUZE TATIZO NI NINI ILI TUWEZE KUJIANDAA KWA NJIA NYINGINE. NAWSILISHA.