Haitasaidia mkuu.Hao jamaa itabidi wafanye mazoezi sana.
Ni mnene mpaka ashakum zake za kiume zimejificha!Huyo wa pili anamatako ya mbele nini?
Mm nilishakaaa na watu wanene unaweza kuta mtu no mnene alaf ni mvivu mno kula lakini hakondi. Na akifanya mazoez ndio kidogo anakua naHao jamaa itabidi wafanye mazoezi sana.
si haba hata hivi tayari umechangia Granta hahahahaNaogopa kuchangia, Mods wamenisakama sana mwezi huu
Wacheza sumoHao jamaa itabidi wafanye mazoezi sana.