Sele Mkonje
JF-Expert Member
- Oct 2, 2011
- 643
- 844
promo
Sawa mkuu..Kuhusu kuweka utube vipi?..Hamna plan hizo?Mkuu DVD zinatoka 1st August 2016.
Tamthilia nzuri sana hakikisheni mnakuwa na muendelezo kama isidingo!EATV pana wafaa.Kuhusu Episode tofauti kuonyeshwa hiyo ni kweli. Ni Kosa la Transmission EATV. Badala ya kurusha Episode ya 38 walirusha ya 39 so nadhani ikabidi warudie baada ya kupata taarifa.
Kuhusu makosa ya kiufundi, yapo madogo madogo ambayo watu makini kama wewe unaweza kujua. Tulikuwa na Changamoto za kutengeneza Episodes 49 kwa muda wa wiki 6 tu. Watani wa Episode 8 kwa wiki. So kazi ilikuwa inafanyika usiku na mchana. Sometimes Wasanii wanakuwa na dharura na wanaporudi tunakosa continuation kwa sababu za kimsingi. So hilo linakubalika japo flow ya Story bado iko vile vile.
Ni kosa? Lakini ni nzuri kweli!promo
Duh isidingo ya kitambo sanaDah mi kwenye tamthiliya ni Isidingo tu.
Ni kweli ile hata ukianza sasa kuiangalia unaipenda sema hii siri za familia naona matangazo yake tu kifupi bado sijaweza kumudu kuangalia sanaa za tz maana huwa low kiasi flaniDuh isidingo ya kitambo sana
kama umeoa na una mtoto/watoto na una hasira/wivu kupitiliza nakushauri usiangalie hii tamthilia hii ina uhalisia mkubwa wa maisha yaliyojaa siri za familia....daah noma sana ila bonge moja la tamthilia.Ni kweli ile hata ukianza sasa kuiangalia unaipenda sema hii siri za familia naona matangazo yake tu kifupi bado sijaweza kumudu kuangalia sanaa za tz maana huwa low kiasi flani
Ngoja nianze sasa.kama umeoa na una mtoto/watoto na una hasira/wivu kupitiliza nakushauri usiangalie hii tamthilia hii ina uhalisia mkubwa wa maisha yaliyojaa siri za familia....daah noma sana ila bonge moja la tamthilia.
Nzuri sana mkuuNi kosa? Lakini ni nzuri kweli!
Ni kweli ile hata ukianza sasa kuiangalia unaipenda sema hii siri za familia naona matangazo yake tu kifupi bado sijaweza kumudu kuangalia sanaa za tz maana huwa low kiasi flani
Ni kweli ile hata ukianza sasa kuiangalia unaipenda sema hii siri za familia naona matangazo yake tu kifupi bado sijaweza kumudu kuangalia sanaa za tz maana huwa low kiasi flani
Kali sana hiyo tamthilia
Ni nzuri ila inatuumbua sanakama umeoa na una mtoto/watoto na una hasira/wivu kupitiliza nakushauri usiangalie hii tamthilia hii ina uhalisia mkubwa wa maisha yaliyojaa siri za familia....daah noma sana ila bonge moja la tamthilia.
Naipenda sana