Superman
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 5,695
- 1,696
- Thread starter
- #101
Ni tamthilia nzuri na naipenda sana shida ipo kwenye muendelezo mfano siku ile carlos anamfumania sheila na abdul asubuhi aliondoka kavaa suti kabisa na sheila ndo alimfunga tai ila alirudi kavaa jinzi na shat na koti...jumatatu apa juzi walionyesha ya jumanne nyingine(yani ile ya kesho yake) lakini jana tukaona nyingine...kuna vipengere vingi vinaonyweshaga kama ya kesho yake lakini havionyweshwi.
Kuhusu Episode tofauti kuonyeshwa hiyo ni kweli. Ni Kosa la Transmission EATV. Badala ya kurusha Episode ya 38 walirusha ya 39 so nadhani ikabidi warudie baada ya kupata taarifa.
Kuhusu makosa ya kiufundi, yapo madogo madogo ambayo watu makini kama wewe unaweza kujua. Tulikuwa na Changamoto za kutengeneza Episodes 49 kwa muda wa wiki 6 tu. Watani wa Episode 8 kwa wiki. So kazi ilikuwa inafanyika usiku na mchana. Sometimes Wasanii wanakuwa na dharura na wanaporudi tunakosa continuation kwa sababu za kimsingi. So hilo linakubalika japo flow ya Story bado iko vile vile.