jlm
Member
- Dec 15, 2009
- 29
- 18
Its a very nice Series ipo based kwenye vitabu vya A Song of Ice and Fire; ni nzuri na dialogue yake ni bomba sana; inahusu mapambano ya familia (clans tofauti tofauti) wanagombania kuongoza Seven Kingdoms...,
Mpaka sasa series imeingia episode ya nne na mwandishi ameshaandika vitabu sita; cha saba huenda kikatoka mwisho wa mwaka huu; na amesema inabidi aandike haraka kabla series haijamkamata na kumfikia kabla hajamaliza..
Ni series nzuri yenye dialogue za nguvu, some fighting, some magical things as well as nudity na sex (which is a shame sababu watoto watashindwa kuangalia which would have been an otherwise entertainment for everyone) Kwahio angalia ila usiangalia na watoto