VUVUZELA
JF-Expert Member
- Jun 19, 2010
- 3,103
- 785
Wabunge wa chama pinzani walipomsusa mkwere na kutoka nje ya ukumbi wa bunge kule Dodoma, watu wa UDOM kwa haraka militoa tamko na kulaani kitendo hicho. Fine.
Now, tunaomba tamko lenu kuhusu DOWANS na katiba mpya. Ama havina umuhimu kwenu? Mbona mmekuwa mabubu.....ama ndio ku-justify kwamba hicho ni chuo cha Ka....oh no...chuo cha kisiasa cha CCM?:hug:
Now, tunaomba tamko lenu kuhusu DOWANS na katiba mpya. Ama havina umuhimu kwenu? Mbona mmekuwa mabubu.....ama ndio ku-justify kwamba hicho ni chuo cha Ka....oh no...chuo cha kisiasa cha CCM?:hug: