King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,604
- 68,500
Haya kishanuka ngoja tuone tamko lao hilo
Du!
Kwa nje ni Ngangari, lakini kumbe kwa ndani kumechina.
Bora hawa hawafukuzani!...Taratibu za chama zitumike, na maamuzi yawe ya makubaliano!
Tamko limejaa makosa mengi sana na nadhani is time kwenda shule na kuachana mambo ya madrasa yet unataka uongozi wa Umma .