NgomaNgumu
Senior Member
- Nov 20, 2010
- 194
- 24
Nimejaribu kusoma article yote hiyo lakin sikuona tamko lolote zaidi ya kusema tumechoshwa. Kama ni kuchoshwa ofcourse kitendo hicho kilichosha tangia 2001 lakin nini hasa malengo ya tamko
hii uliirukaNimejaribu kusoma article yote hiyo lakin sikuona tamko lolote zaidi ya kusema tumechoshwa. Kama ni kuchoshwa ofcourse kitendo hicho kilichosha tangia 2001 lakin nini hasa malengo ya tamko
Tunaonya kuwa hatuko tayari tena kuvumilia vitendo vya uvunjaji wa
amani na haki zetu na tabia za kufanywa tuishi kwa hofu.
Siamini km muislamu yeyote
anaweza japo kuitakia amaninchi yake km maneno mazuri ya faraja ya
viongozi hawa wa dini halisi ya mungu/......mimi siwalaumu waislau ila
namlaumu allah anayewapotosha kila kukicha kuwa unaweza kushinda
kijiweni na ukategemea majini kukulisha.....mwisho wa siku wanajikuta
wanadanganywa. Badala ya kumlaumu allah na mafundisho yake feki
wanalaumu eti kuna mfumo kristo wkt viongozi wote ngazi za juu bara na
visiwani ni waislamu.........kweli kuwa muislamu inahitaji usiwe na
akili timamu kwasababu inabidi uwe tayari kuwa kuua mtu unaenda peponi
moja kwa moja au unapata thawabu
Hoja legelege,
Kwani hamjamsikia Dr. shein, au ndo kutafuta umaarufu?
Tumewasikia Tumewafikia....US conspiracy at work.....why didnt they blame US n UK embassies for helping HUAMSHO? what is hidden agenda behind...Why didn't they ask US n UK ambassadors when visited ZENJ with minister concerned... They claimed that kuna nchi za nje zinahusika kwanini hamkuzitaja ili serikali km haijui basi iwe ni ushaidi tosha.....kweli kikulacho kinguoni mwako i tell u guyz hii misaada na NGOs za US,UK, UE na embassy zao ni full of spyz kama TANZANIA viongozi wetu wakiendelea kukenua meno na hawa kisa misaada tutagawika ata 2015 hatufiki
Hoja legelege,
Kwani hamjamsikia Dr. shein, au ndo kutafuta umaarufu?
Kama ungesoma vizuri na kuelewa tamko lilitolewa lini na Dr Shein alijibu lini ungeweza kuchangia vizuri zaidi. Au ulitaka kuchangia kwanza ndipo usome ili uelewe tamko la maaskofu lilitolewa lini? Kwa kukuelewesha Dr Shein aliongea na waandishi wa habari kuhusu kile alichokisema baada ya maaskofu kutoa tamko lao na si wao kutoa tamko baada ya Dr Shein kuongea na waandishi wa habari kuhusu vurugu za Zanzibar. Tujifunze kusoma na kuelewa kabla ya kujibu kitu chochote na siyo kujibu kwanza na kuelewa baadaye.