Wasomi wa kiislam je?Ahahahaha! mimi huwa nacheka sana na hawa wasomi Wakirsto wanaojitapa eti wasomi, sijui huyo Usomi wao umelisaidia vipi taifa letu zaidi yakufanya Ufisadi tu, ni sawa sawa na punda kubeba mzigo wa vitabu mgongoni, kwenye nchi kumi masikini duniani Tanzania tumo na bado kuna wapuuzi wanajisifia eti Wasomi, wasomi wa Tanzania elimu yao inawasaidia kuiba tu tena usomi Insubstantial kabisa, Wasomi wa Tanzania uwezi Collate na wasomi wa nchi nyingine, acheni ku-deceit
waislam wa tanga wameitaka serikali kufanya yafuatayo katika tamko lao la tarehe 3/4/2011(kuhusu mfumo wanaodai ni mfumo kristo)
1.iache kutekeleza mipango yake kutokana na matakwa na mashinikzo ya makanisa kupitia maaskofu na wachungaji wao
2.isitishe mara moja kugawa mabilioni ya shilingi kwa taasisi za kanisa pekee
3.baada ya kutekeleza hayo(1&2),waislam wa tanga kwa manufaa yetu sote tunaitaka serikali
i.itaifishe mali zote za kanisa iliyopatikana kwa njia isiyo stahiki yake,kwa maana ya zile zilizotokana na
ruzuku itokanayo na kodi zetu.Hilo lifuatiwe na kugawanywa kwa mali hizo kulingana na asilimia ya
kodi kila jamii ilivyotoa
ii.iwapo hilo(3i)ni gumu,tunaitaka serikali ipige hesabu ya kodi yote iliyowapatia wakristo na makanisa
yao kwa miaka yote tangu uhuru.
Thamani itakayopatikana igawanywe upya na waislam kupitia taasisi zetu tupate mgao utakaokuwa
stahiki yetu
4.Serikali iunde mfumo wa serikali za majimbo ili kila watu wajitawale kwa mujibu wa sheria zao,kama
tamko la dar es salaam lilivyosema
source:gazeti la kiislam la annur;8-14/4/2011
Ahahahaha! mimi huwa nacheka sana na hawa wasomi Wakirsto wanaojitapa eti wasomi, sijui huyo Usomi wao umelisaidia vipi taifa letu zaidi yakufanya Ufisadi tu, ni sawa sawa na punda kubeba mzigo wa vitabu mgongoni, kwenye nchi kumi masikini duniani Tanzania tumo na bado kuna wapuuzi wanajisifia eti Wasomi, wasomi wa Tanzania elimu yao inawasaidia kuiba tu tena usomi Insubstantial kabisa, Wasomi wa Tanzania uwezi Collate na wasomi wa nchi nyingine, acheni ku-deceit
Nchi inavyopelekwa tutaendelea kusikia mengi
waislam wa tanga wameitaka serikali kufanya yafuatayo katika tamko lao la tarehe 3/4/2011(kuhusu mfumo wanaodai ni mfumo kristo)
1.iache kutekeleza mipango yake kutokana na matakwa na mashinikzo ya makanisa kupitia maaskofu na wachungaji wao
2.isitishe mara moja kugawa mabilioni ya shilingi kwa taasisi za kanisa pekee
3.baada ya kutekeleza hayo(1&2),waislam wa tanga kwa manufaa yetu sote tunaitaka serikali
i.itaifishe mali zote za kanisa iliyopatikana kwa njia isiyo stahiki yake,kwa maana ya zile zilizotokana na
ruzuku itokanayo na kodi zetu.Hilo lifuatiwe na kugawanywa kwa mali hizo kulingana na asilimia ya
kodi kila jamii ilivyotoa
ii.iwapo hilo(3i)ni gumu,tunaitaka serikali ipige hesabu ya kodi yote iliyowapatia wakristo na makanisa
yao kwa miaka yote tangu uhuru.
Thamani itakayopatikana igawanywe upya na waislam kupitia taasisi zetu tupate mgao utakaokuwa
stahiki yetu
4.Serikali iunde mfumo wa serikali za majimbo ili kila watu wajitawale kwa mujibu wa sheria zao,kama
tamko la dar es salaam lilivyosema
source:gazeti la kiislam la annur;8-14/4/2011
Wasomi wa kiislam je?
Ahahahaha! mimi huwa nacheka sana na hawa wasomi Wakirsto wanaojitapa eti wasomi, sijui huyo Usomi wao umelisaidia vipi taifa letu zaidi yakufanya Ufisadi tu, ni sawa sawa na punda kubeba mzigo wa vitabu mgongoni, kwenye nchi kumi masikini duniani Tanzania tumo na bado kuna wapuuzi wanajisifia eti Wasomi, wasomi wa Tanzania elimu yao inawasaidia kuiba tu tena usomi Insubstantial kabisa, Wasomi wa Tanzania uwezi Collate na wasomi wa nchi nyingine, acheni ku-deceit
waislam wa tanga wameitaka serikali kufanya yafuatayo katika tamko lao la tarehe 3/4/2011(kuhusu mfumo wanaodai ni mfumo kristo)
1.iache kutekeleza mipango yake kutokana na matakwa na mashinikzo ya makanisa kupitia maaskofu na wachungaji wao
2.isitishe mara moja kugawa mabilioni ya shilingi kwa taasisi za kanisa pekee
3.baada ya kutekeleza hayo(1&2),waislam wa tanga kwa manufaa yetu sote tunaitaka serikali
i.itaifishe mali zote za kanisa iliyopatikana kwa njia isiyo stahiki yake,kwa maana ya zile zilizotokana na
ruzuku itokanayo na kodi zetu.Hilo lifuatiwe na kugawanywa kwa mali hizo kulingana na asilimia ya
kodi kila jamii ilivyotoa
ii.iwapo hilo(3i)ni gumu,tunaitaka serikali ipige hesabu ya kodi yote iliyowapatia wakristo na makanisa
yao kwa miaka yote tangu uhuru.
Thamani itakayopatikana igawanywe upya na waislam kupitia taasisi zetu tupate mgao utakaokuwa
stahiki yetu
4.Serikali iunde mfumo wa serikali za majimbo ili kila watu wajitawale kwa mujibu wa sheria zao,kama
tamko la dar es salaam lilivyosema
source:gazeti la kiislam la annur;8-14/4/2011
Usomi wa Wakristo unaonekana katika mchango wao wa huduma za jamii - kama vile mashule, hospitali, kujenga barabara, madaraja na hata kutoa huduma za vyombo vya usafiri. Elimu lazima isaidie kupambana na mazingira yanayotuzunguka na kupunguza umaskini (kupitia ajira), magonjwa (huduma za afya) na ujinga (elimu).
Mbona haushangai CV ya Mufti Juma Bin Shaaaaaaban. Huyo ndiyo msomi wa waislam. Vibaragashia tutututuuuuuuuuuuuuuuuu na chai chunguuuuuuuuuuuuuuuuuuu na Bao kwa saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana
Naunga mkono hii kauli hasa hasa katika kuchagua RC, DC isiwe raisi bali watu wa sehemu husika, ili waweze kuchochea maendeleo ya sehemu husika, mfano Tanga unanafasi yake ya kimaendeleo kupitia Bandari nk na mikoa mingine kila moja kwa wakati wake maana mfumo wa serikali kuu umeshindwa kutokana na ufisadi au mapungufu ya kiuongozi katika serikali na kivyama..4.Serikali iunde mfumo wa serikali za majimbo ili kila watu wajitawale kwa mujibu wa sheria zao,kama
tamko la dar es salaam lilivyosema
source:gazeti la kiislam la annur;8-14/4/2011
Mfumo wa Majimbo tunauunga mkono kwa maana ya kuwa na uongozi wa kuchaguliwa na wananchi siyo wa sasa wanaletwa R.C.R.A.S, DAS, DC na D.E.D ambao hawachaguliwa wananchi wa Jimbo husika na wanawaamulia wananchi mambo yao bila kujali maslahi ya wananchi na wananchi hawana namna ya kumuwajibisha RC au DC au DED, badala yake wanamlilia shida Mbunge ambaye hana Mamlaka ya Kiongozi na Mwakilishi tu! Utawala wa Majimbo ni sahihi kabisa kwa minajili ya kuwapa wananchi uhuru wa kuchagua Viongozi wao nafasi ambayo hadi sasa tangu Uhuru wamenyimwa ila ktk Ngazi ya Urais na Kijiji tu!ILA NAPINGA utawala wa Majimbo kwa minajili ya kuleta Sheria za Dini, kwanza hakuna Mkoa wenye asilimia 90% ya waumini wa Dini fulani tu, hata huko Tanga waumini wa Kikristo wapo wengi saaana tu,Majimbo kwa kuleta sheria za Dini marufukuuuu kabisa, kama wanataka wahame Tanzania yetu ya kina Chacha, Ngosha, Mwaipopo, Mgosi, na Komba wahamie Uarabuni kwa wenzao!
nakubaliana na wewe mkuu,sisi tunao jiita tumesoma kuliko wa upande wa pili ndio tupo maofisini kwa wingi na ndio tulio ipelekea hii nchi pabaya kwa kujifanya tumesoma na kuingia mikataba ambayo inaimalia hii nchiMkuu lini ulisikia Waislam wanajisifia wamesoma? wenyewe wanakubali awajasoma, Labda unisaidie wasomi wa Wakirsto wa Tanzania wamelisaidiaje taifa ili kutoka kwenye umasikini zaidi ya ufisadi tu, ndio maana nakuambia wasomi wa Tanzania ambayo wapo serikalini ndio wanatusabishia huu umasikini