mwenyenchi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 657
- 185
Kwa hiyo hukujua kama 'baba yako' amefariki, amezikwa na hukupanga kuhudhuria?
Viongozi wa CCM mnapenda starehe sana, kwenye msiba unacheza gofu?
Kafa Kanumba hapa akiwa anafanya umalaya huku akimbaka mtoto (alikuwa chini ya miaka 18) mpaka baba Riz One kaahirisha safari zake za kutalii kaenda kwenye msiba wa kipuuzi. Kafa mpiganaji unakwenda kucheza gofu!
Funga mdomo wako, unajiaibisha kwa kujitetea kijinga
Viongozi wa CCM mnapenda starehe sana, kwenye msiba unacheza gofu?
Kafa Kanumba hapa akiwa anafanya umalaya huku akimbaka mtoto (alikuwa chini ya miaka 18) mpaka baba Riz One kaahirisha safari zake za kutalii kaenda kwenye msiba wa kipuuzi. Kafa mpiganaji unakwenda kucheza gofu!
Funga mdomo wako, unajiaibisha kwa kujitetea kijinga