mabadilikosasa
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 379
- 85
WanaJF
Huu ni wakati muafaka kwa umoja wa vijana wa chadema kutoa tamko kali juu ya mambo mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuunga na kupinga baadhi ya hoja za UVCCM. Pia kukemea hali ya ubaguzi wa kidini ambayo ccm inaendeleza kutumia masheik/uislam (ambao wanachuki binafsi na ukristo, na ambao ni wakeretwa wa ccm kwa maslahi yao binafsi kama vile OIC, Mahakama ya Kadhi, vyeo vya bure, na upendeleo waliohaidiwa na serikali ya kislamu iliyopo madarakani) badala ya kuimarisha umoja wa kitaifa ambao ulijengwa na baba wa taifa kwa misingi ya serikali kutokua na dini, and kutenda haki sawa
Umoja wa vijana-Chadema mpo wapi????????????!
Huu ni wakati muafaka kwa umoja wa vijana wa chadema kutoa tamko kali juu ya mambo mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuunga na kupinga baadhi ya hoja za UVCCM. Pia kukemea hali ya ubaguzi wa kidini ambayo ccm inaendeleza kutumia masheik/uislam (ambao wanachuki binafsi na ukristo, na ambao ni wakeretwa wa ccm kwa maslahi yao binafsi kama vile OIC, Mahakama ya Kadhi, vyeo vya bure, na upendeleo waliohaidiwa na serikali ya kislamu iliyopo madarakani) badala ya kuimarisha umoja wa kitaifa ambao ulijengwa na baba wa taifa kwa misingi ya serikali kutokua na dini, and kutenda haki sawa
Umoja wa vijana-Chadema mpo wapi????????????!