Tamko la TPN: Ni uzalendo au ukada?

Si angefanya hata proof reading kidogo. Maana tamko limeandikwa kama amekurupuka vile. Na kama alivyosema mdau mmoja humu,sidhani kama ni tamko la TPN as a whole.

Kama chama cha wasomi kinakuja na tamko la "kutwanga kokote" hivi,hakika wasomi wa nchi ni walamba miguu ya wakubwa. Ni hatari sana kwa wasomi kushindwa kusimama na kutetea haki na ukweli katika mgogoro kama huu.

Wasomi wanapofikia hatua ya kushindwa kukemea maovu waziwazi kwa sababu ya kutaka kufurahisha pande zote zinazolumbana,basi hapo hakuna wasomi. Bali kuna wachumia tumbo.

Mara kumi hata TPN ingekuja na tamko la kuitaka serikali ifanye marekebisho makubwa katika mfumo wa mishahara na mazingara ya kazi kwa watumishi wote wa serikali.

Sasa unataka daktari afanye kazi kwa bidii huku hakiwa hana vitendea kazi?
 
It is apparent that the once promising TPN could slowly be turning into a morribund TALKING SHOP of some wanabe political lame ducks that would often generously take leave from academic prisms of analysing national challenges only to offer a novice wayforward in the face of the geniune plights of a poverty striken population.

What an absurdity of the first degree it so augurs to be here!!!!
 
Si angefanya hata proof reading kidogo. Maana tamko limeandikwa kama amekurupuka vile. Na kama alivyosema mdau mmoja humu,sidhani kama ni tamko la TPN as a whole.

Kama chama cha wasomi kinakuja na tamko la "kutwanga kokote" hivi,hakika wasomi wa nchi ni walamba miguu ya wakubwa. Ni hatari sana kwa wasomi kushindwa kusimama na kutetea haki na ukweli katika mgogoro kama huu.

Wasomi wanapofikia hatua ya kushindwa kukemea maovu waziwazi kwa sababu ya kutaka kufurahisha pande zote zinazolumbana,basi hapo hakuna wasomi. Bali kuna wachumia tumbo.
Wanatakiwa wa recall press release yao manake maneno yameshikana kama mnyororo na professionals hawakuliona hilo. Ni professionals gani ambao hawaonyeshi weredi? Hivi wanawakilisha professionals toka nyanja zipi?
 
Night club owners labda!wanaojiita wasomi Tanzania wameiharibu sana nchi hii. Ni wabinafsi mno wasiojari watu wengine wanashida kiasi gani!


Kweli kabisa mzee.
Wenyewe ujitetea kwamba wanasiasa ndio wanaharibu kwa kuingilia kazi za kisomi.

Lakini cha kuwauliza ni kwamba,kwanini wanakubali kutumiwa na wanasiasa? Kama kweli usomi wao umewaingia vichwani mwao,kwanini wasipingane na kutimiza matakwa ya wanasiasa kwa kuachia ngazi?
Hapa pia watajitetea kwamba,familia zao zitakula wapi?

Mwisho wasomi wanaweka usomi wao mfukoni na kuwa walamba miguu ya wanasiasa ambao ni weupe kabisa vichwani!

Ndiyo maana mimi naamini mpaka pale wasomi na kada nyingine za kitaalamu zitakapogoma kutumiwa na wanasiasa,ndipo nchi inaweza kupata maendeleo.
 
Wanatakiwa wa recall press release yao manake maneno yameshikana kama mnyororo na professionals hawakuliona hilo. Ni professionals gani ambao hawaonyeshi weredi? Hivi wanawakilisha professionals toka nyanja zipi?


Unapaswa kua mtandao wa wanataaluma kutoka kada zote unazozifahamu. Kuanzia waalimu,wahadhiri,wabunifu majengo,wahindisi,wauguzi,watafiti n.k.

Wakati unaanzisha,Sanctus Mtsimbe alikua na wazo na nia njema kabisa. Kuwaunganisha wanataaluma/wasomi wote katika kupata platform ya kutoa maoni na mawazo yenye kujenga taifa hili.

Lakini,kwa sasa,naona mtandao hauna mwelekeo!!!
 
Back
Top Bottom