Tamko la SIKIKA kuhusu rushwa - Wizara ya Nishati na Madini

January Makamba yuko safi kweli kwenye hili? Kwa nini asiachie ngazi kwa kuongoza Kamati fisadi na kupitisha bajeti mbovu katika ngazi ya Kamati
 
Now this is something I would like to see; why stop with Jairo? Why stop with Energy and Mining? Lets go all the way? But.. kwanini Wabunge wajichunguze wenyewe? We need a third party to run the investigations. Kama alichosema Jairo "kama ilivyokawaida" ni kweli basi tunataka kujua "how kawaida" haya mambo yalivyo.
 
Hii kitu ni deeper than what we think.
Kamati ya nishati ina kesi kubwa ya kujibu.
 
Kuna mahali nimesema na ninarudia tena, rushwa hii ilijulikana na kikwete na mawaziri na maofisa wote wa serikali wanaohusika, hatuwezi kujidanganya kuwa watu ambao wamekuwa serikalini miaka na miaka hawajui uozo huu Jairo anaouita 'kama ilivyo kawaida'. Katibu mkuu wa wizara hawezi kujiamulia mwenyewe na atafute 'mbinu' za kufanikisha kupitishwa kwa bajeti bila ya mawaziri husika kujua na kubariki 'mbinu' hizo.
 
Tamko linatolewa kwa watanzania then linaandikwa kwa kiingereza haya ndio mambo ya ukoloni hapo wanawaridhisha wafadhili wao futa vi NGO vya ovyo ovyo kama SIKIKA

Tukiwaambia kuna idadi ya watumwa kadhaa hapa kwenye serikali inayoongozwa na fisadi papa wanalalamika. Kama wanatamani sana uingereza si waende kuishi huko. Hata swala la kutumia dollar ni umburukenge wa Fisadi papa. hii serikali ni ya kujiuzulu wote hakuna mwenye nafuu.
 
Kamati kazi yake ilikuwa kuikataa bajeti wakati wa Kamati, siyo kuikubali halafu waje kuipinga bungeni. Hapa ndipo harufu ya rushwa inaponuka. Na hasa ni usanii kupitisha bajeti kwenye Kamati kisha kuja kuikosoa kwenye Bunge

On the red: Thank you!

Point nyingine ni Spika Anne Makinda na Bunge. Wakara wa Katibu wa Wizara ya Nishati na Madini Ndugu David Jairo ni kiashiria kuwa pengine wizara nyingi (kama sio zote) zimekuwa zinahonga wabunge na ndio maana kila mwaka budget zinapita licha ya kuwa na makosa makubwa! Nilitegemea Spika Makinda immidiately atangaze 'uchunguzi' wa kina ufanyike kwa wizara zote ili kujiridhisha kuwa hakuna pesa kama hizi za Katibu Jairo sehemu nyingine. Hii ingeijengea heshma bunge na kuondoa dhana ambayo kwa sasa inaenea kwa kasi sana kuwa wabunge WAMEHONGWA! Mama Makinda huu ni mtihani kwako wa kurudhisha imani ya wananchi kwa bunge lao.

Na kwa chama chochote kinachotaka kujitoa kwenye tope hili basi wajitokeze hadharani na mapema kwa kuitisha UCHUNGUZI kwa kila wizara iliyopeleka budget yake Dodoma. Vinginevyo wakikaa kimya wananchi wana haki ya kuamini wote wako mikononi mwa Makatibu na vibahasha. Namuona Kitila Mkumbo humu, naomba uwashauri CHADEMA wajinasue na hili tope la vijicents vya makatibu. They can make a 3 course meal out this blunder ya ccm ya kuzungukana.
 
Now this is something I would like to see; why stop with Jairo? Why stop with Energy and Mining? Lets go all the way? But.. kwanini Wabunge wajichunguze wenyewe? We need a third party to run the investigations. Kama alichosema Jairo "kama ilivyokawaida" ni kweli basi tunataka kujua "how kawaida" haya mambo yalivyo.


MM nafikiri hapo ndipo pa kuanzia, then twende huko kwingine, hatuwezi kufumbia macho uozo na utumbo huu ati kwa sababu kuna mzoga mwingine unatusubiri.
 
Hii kitu ni deeper than what we think.Kamati ya nishati ina kesi kubwa ya kujibu.
Tatizo hiyo kesi anaisimamia nani?Hawa wakuu wa idara na taasisi waliotoa hizo 50M @ nao wanafanywa nini?
 
Nchi iko hatarini. Kama viongozi wanadiriki kuhonga ili bajeti ipite. Watz tujue tuko kwenye wakati mgumu. Rais wetu kweli analionaje hili na jana tu amekwee pipa kwenda sa. Pia gazeti la kenya lilivyosema kuhusu rais wetu - safari zake

Nchi siku zote imekuwa kwenye hali hii. Ni basi tu walikuwa wanatuficha sie wadanganyika.
Also, as usual, it seem to take an insider to blow such big scandals to the public eyes.
Kumbuka EPA nayo ili blow up baada ya watu kukosa mgao. Isingekuwa hivyo, wadanganyika tusingejua.
Wanasiasa wengi wanafiki, hawafanyi mambo kwa uchungu wa nchi bali kwa manufaa binafsi.
Kweli siasa mchezo mchafu.
 
tume ya kuchunguza iundwe na nani? Wakati wa richmond iliundwa tume ambayo nimeanza kuamini kuwa kulikuwa na agenda nyingne nyuma yake...je mama makinda ana guts za kuunda tume na kuipa uhuru? I thought sita alifanya kwa nia njema but i was wrong.Mungu wangu,tufanyeje watu wako??
 
watanzania sasa wakati umefika...tujivue gamba la woga na ubinafsi,tuamue kwa dhati na kivitendo kuukataa huu uhuni unaofanywa na serikali ya ccm na wabunge wao!hili lililoibuliwa wizara ya nishati na madini ni ishara dhahiri ya uozo uliopo kwenye serikali ya jk,na ni sababu tosha ya kuiondoa madarakani.tusisubiri 2015,tuunganishe nguvu zetu sasa!
naunga mkono hoja, bila kuingia porini kudai haki zetu
 
MM nafikiri hapo ndipo pa kuanzia, then twende huko kwingine, hatuwezi kufumbia macho uozo na utumbo huu ati kwa sababu kuna mzoga mwingine unatusubiri.
Kujiuzuru kwa utashi/hiari kwa mtumishi yeyote wa umma kwa kosa lolote ambalo ni kinyume na utaratibu/kanuni huwa ni ishara ya mtumishi huyo kukiri hadhalani udhaifu wake kiutendaji.

Waziri mkuu anakiri kwamba hana mamlaka ya kumwajibisha katibu mkuu ndugu Jairo, inawezakana ni kweli kwa mujibu wa katba yetu mbovu tuliyonayo. Lakini, kwa katibu mkuu kuendelea kusubiri mpaka sasa mamlaka iliyomteua ndiyo imlazimishe au imshauri kuwajibika/kujiuru, ni ushahidi tosha kabisa kwamba wote wanahusika kuanzia wakubwa wa wizara na hiyo mamlaka ambayo waziri mkuu hana mamlaka nayo. Anachosubiri ndugu Jairo ni kutoa feedback kwa hiyo mamlaka jinsi ambavyo deal hiyo ilivyoshindikana na hatimaye wata-negotiate jinsi ya kutudanganya.

Haiwezekani umetenda kosa na dhamila yako inakusuta halafu unasubiri aliyekuteua aje ndo uwajibike, hakuna kitu kama hicho kwenye utawala bora kokote duniani.
 
Now this is something I would like to see; why stop with Jairo? Why stop with Energy and Mining? Lets go all the way? But.. kwanini Wabunge wajichunguze wenyewe? We need a third party to run the investigations. Kama alichosema Jairo "kama ilivyokawaida" ni kweli basi tunataka kujua "how kawaida" haya mambo yalivyo.
Kujiuzuru kwa utashi/hiari kwa mtumishi yeyote wa umma kwa kosa lolote ambalo ni kinyume na utaratibu/kanuni huwa ni ishara ya mtumishi huyo kukiri hadhalani udhaifu wake kiutendaji. Waziri mkuu anakiri kwamba hana mamlaka ya kumwajibisha katibu mkuu ndugu Jairo, inawezakana ni kweli kwa mujibu wa katba yetu mbovu tuliyonayo.

Lakini, kwa katibu mkuu kuendelea kusubiri mpaka sasa mamlaka iliyomteua ndiyo imlazimishe au imshauri kuwajibika/kujiuru, ni ushahidi tosha kabisa kwamba wote wanahusika kuanzia wakubwa wa wizara na hiyo mamlaka ambayo waziri mkuu hana mamlaka nayo. Anachosubiri ndugu Jairo ni kutoa feedback kwa hiyo mamlaka jinsi ambavyo deal hiyo ilivyoshindikana na hatimaye wata-negotiate jinsi ya kutudanganya. Haiwezekani umetenda kosa na dhamila yako inakusuta halafu unasubiri aliyekuteua aje ndo uwajibike, hakuna kitu kama hicho kwenye utawala bora kokote duniani.

Wana JF; tukumbuke kwamba huyu Jairo ametokea IKULU kwenda wizara ya nishati na madini, sasa hii kauli "kama ilivyokawaida" inaonyesha hii ni kawaida kuanzia huko alikotokea.
 
katibu mkuu hana mamlaka hayo, maagizo yametoka kwa Ngereja na kubarikiwa na raisi! huku wakuu wengine as(naibu) wakipongeza wazo zuri na kupiga makofi ! wapigwe chini wote japo rais anawatetea. haingii akililini hata kama hujaenda shule usijue kazi ya katibu? si mtoaji maaamuzi ila mtekelezaji, maamuzi mazito kama haya hawezi kuruka waziri sharti ang'olewe!
 
Hapa wakuu kuna maswali mengi.?
Hivi Rais wetu ajui au anajua bajeti ya Nishati na madini aliyowasilishwa na waziri husika.?
Je waziri mkuu naye ajuii kabisa kilichomo ndani ya bajeti husika.?
Je nani ni boss wa katibu mkuu Jairo?
Je kweli waziri wanishati na madini ajui tuhuma hizo.?
Nionavyo wajinga ndio waliwao.?au Je wanasubili nini?
Hivi Rais anavyosafiri nini kazi ya makamu wa Rais,? Waziri mkuu alisikika akisema mpaka Rais arudi ndo atowe ushauri?????
 
Back
Top Bottom