Tamko la serikali

sugi

JF-Expert Member
Feb 12, 2011
1,392
293
Tutaendelea na utaratibu wa kupiga mabomu kila juma 5,kuanzia saa 2:30 hadi saa 5 usiku,mpaka WATANZANIA kwa hiari yenu mtakapokubali deni la Dowans lilipwe!baada ya kuanza na maeneo ya gongolamboto,kitunda,kivule,kalakata,segerea, majohe,tabata.
Jumatano ijayo tutapeleka mashambulizi maeneo ya kimara,mbezi,ubungo,mwenge,sinza,kijitonyama,na kwa uchache maeneo ya manzese kinondoni.
MUNGU IBARIKI TANZANIA,MUNGU IBARIKI AFRIKA
 
Tutaendelea na utaratibu wa kupiga mabomu kila juma 5,kuanzia saa 2:30 hadi saa 5 usiku,mpaka WATANZANIA kwa hiari yenu mtakapokubali deni la Dowans lilipwe!baada ya kuanza na maeneo ya gongolamboto,kitunda,kivule,kalakata,segerea, majohe,tabata.
Jumatano ijayo tutapeleka mashambulizi maeneo ya kimara,mbezi,ubungo,mwenge,sinza,kijitonyama,na kwa uchache maeneo ya manzese kinondoni.
MUNGU IBARIKI TANZANIA,MUNGU IBARIKI AFRIKA

Hata kama Ipo kwenye Forum ya Jokes lakini haipendezi, watanzania bado wana majonzi juu ya tukio hili, ni vema Sugi ukaungana ana watanzania wenzako kwenye Msiba huu wa Kitaifa kuliko kuweka kwenye Utani hili, Tujifunze kutoka kwa wengine tubadilike jamani kuna maswala ya kuweka kwenye utani lakini kwa hili ndugu umepotoka na mbaya zaidi unapomuhusisha Mungu kwenye Joke, Mdau mmoja amekwambia imendikwa kuwa MUNGU hadhihakiwi!!
 
Hata kama Ipo kwenye Forum ya Jokes lakini haipendezi, watanzania bado wana majonzi juu ya tukio hili, ni vema Sugi ukaungana ana watanzania wenzako kwenye Msiba huu wa Kitaifa kuliko kuweka kwenye Utani hili, Tujifunze kutoka kwa wengine tubadilike jamani kuna maswala ya kuweka kwenye utani lakini kwa hili ndugu umepotoka na mbaya zaidi unapomuhusisha Mungu kwenye Joke, Mdau mmoja amekwambia imendikwa kuwa MUNGU hadhihakiwi!!

thanks,i've learnt
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom