Tutaendelea na utaratibu wa kupiga mabomu kila juma 5,kuanzia saa 2:30 hadi saa 5 usiku,mpaka WATANZANIA kwa hiari yenu mtakapokubali deni la Dowans lilipwe!baada ya kuanza na maeneo ya gongolamboto,kitunda,kivule,kalakata,segerea, majohe,tabata.
Jumatano ijayo tutapeleka mashambulizi maeneo ya kimara,mbezi,ubungo,mwenge,sinza,kijitonyama,na kwa uchache maeneo ya manzese kinondoni.
MUNGU IBARIKI TANZANIA,MUNGU IBARIKI AFRIKA
Jumatano ijayo tutapeleka mashambulizi maeneo ya kimara,mbezi,ubungo,mwenge,sinza,kijitonyama,na kwa uchache maeneo ya manzese kinondoni.
MUNGU IBARIKI TANZANIA,MUNGU IBARIKI AFRIKA