Damu ya Watanzania,ndugu na Rafiki zetu iliyomwagika Nyamongo itazirutubisha mbegu za mti utakaochipua na kuleta HAKI na TANZANIA MPYA yenye kuyajali MASLAHI ya wananchi wake,Taifa lenye kusimamia kwa umakini MIKATABA yote ya uchimbaji wa MADINI,Ili kila Mtanzania anufaike na MALIASILI ya TANZANIA.Mungu akawafanyie wepesi ndugu wa wafiwa katika kipindi hiki kigumu na chenye majonzi.MUNGU IBARIKI TANZANIA.