Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,206
- 42,068
Mengi sasa ni kundi moja na aliokuwa anawaita mafisadi wakina rostam kutuuza watanzania. Asante JF tumeujuwa ukweli wa huyu mzee anajifanya mzalendo kumbe mnafiki mkubwa.
Acheni uchawi mnataka watu wagombane milele? Hili ni pigo kwa UKAWA!