yuko kwa mme wake rostam. Si mnajua kaolewa na rostam?ni uhuni wa serikali.ukosefu wa utu,haiwajali tena raia,imepoteza mwelekeo,inatumia nguvu hata pasipostahili,hivi huyo kikwete yupo mafichoni wapi?hayo yote ina maana anajifanya hayasikiii?damn serikali
Hii picha imenichekesha mnoooo.. sijui alimpa nani kamera apige hii picha "Aisee XXXX .. hebu nipige nimekaa hapa Ulaya nikawaonyeshe washikaji home" .. hahahaaaa.... noma!Hahahahaahah sijui alikuwa yuko kwenye fani yake hapo!
Alisoma Political economics na alipata pass tu. Academically the guy is empty, ndio maana hawezi kukaa meza moja na PhD holder kama Prof. Lipumba au Dr. Silaa wakajadili mambo ya maana yanayohusu nchi. Mwenzake Chinga alikuwa anakaa na viongozi wa vyama vya siasa na kubadilishana mawazo.
ni uhuni wa serikali.ukosefu wa utu,haiwajali tena raia,imepoteza mwelekeo,inatumia nguvu hata pasipostahili,hivi huyo kikwete yupo mafichoni wapi?hayo yote ina maana anajifanya hayasikiii?damn serikali