Tamko la raisi juu ya yale ya Arusha ni lipi?

JK+CHEGGE.jpg
 
Huyu jamaa anapenda sana kuzika, ndio maana katuma vijana wake wauwe huko arusha ili aende mazikoni.
 
nakusifu kwa autography yako safi sana je unaweza kupata picha yake pindi anasoma pale msoga mission
 
civil disobidience is the only solution,much respect kwa watu wa arusha
 
Pigo lingine kwa uchumi kwa Tanzania. Jana watalii wengi walokuwa Arusha wameamua kukatisha ziara zao za utalii na kurudi makwao huku wengi wakielekea Kenya kuendelea na shughuli zao za kitalii.

Utalii una mchano mkubwa kwa pato la taifa kuliko madini na biashara..... Mkuu wa Kaya amka, umekalia tope la kimba.
 
Hivi jamani bado raisi hajatoa tamko? au kwake yeye ni ishu ya kawaidatu wala haijitaji attention yoyote??
 
Hawezi kusema lolote kwani yeye ndiye aliyewatuma, mafisadi ni bora kuliko maisha ya watanzania, wanakotupeleka siko, wanaojitoa muhanga kwa kujilipua walianza hivyohivyo, hatime wtu wanakata tamaa na mwishoe, wanaibuka watu wenye misimamo mikali, lakini yote husababishwa na tawala kandamizi.
 
Arusha ni mji wa kitalii na tena ni mji wa kibiashara zaidi. Arusha sio mji wa kisiasa ila kwa vurugu hizi zilizosababishwa na PILICE wa ccm zinataka sasa tuanze kuamini kuwa Arusha ni mji wa Kisiasa.wakati Arusha haiko hivyo. sasa basi kwa JK kutosema lolote ajue mapato ya utalii yatapungua sana. kwani nani anapenda kwenda kutalii sehemu yenye fujo? Aulize Mombasa kilitokea nini baada ya yale machafuko mpaka leo watalii wanaogopa kwenda huko.
 
Yuko busy. Mchumi asiyejua uchumi. Hata Degree ya uchumi aliyopata haikumsaidia, mbali ya hapo jamaa inaonekana hata washauiri wake ameteua wa kufanana naye.

mbona alifeli sana........kuna lile daraja la mwisho kabisa yaani linalokutambulisha kuwa uliwahi pita chuo.........
 
Hivi jamani bado raisi hajatoa tamko? au kwake yeye ni ishu ya kawaidatu wala haijitaji attention yoyote??



Unataka aanguke kama alivyoanguka jangwani? JK akiwa anadanganya anapiga mweleka. Na bado mwaka huu atakoma labda akimbilie msoga..
 
ataongea nini na wakati polisi ndio wafanyakazi wake na mwema ndio shemeji yake.........
 
Hawezi kusema lolote kwani yeye ndiye aliyewatuma, mafisadi ni bora kuliko maisha ya watanzania, wanakotupeleka siko, wanaojitoa muhanga kwa kujilipua walianza hivyohivyo, hatime wtu wanakata tamaa na mwishoe, wanaibuka watu wenye misimamo mikali, lakini yote husababishwa na tawala kandamizi.


Sure, ogogpa sana binadam anapokata tamaa na kuamua kuchukua shauri toka moyoni. Hata punda ambae ni mnyama akichoka kubeba mzigo jua hasogei hatua 1 hata ungempiga mijeledi gani!
Am afraid kua watu tunakaribia huko.

Raisi aua kiongozi yeyote pamoja na mamlaka aliyo nayo aogope sana kuchukiwa na watu anaowaongoza.anaweza kujikuta anaishia kujinyonga
 
hawana tatizo wao.. kwani hata Mkapa aliwahi kusema "waliokufa ni therasini TU!!!!!!"
 
anatakiwa kutambua kua ni rahisi kwake kuwasaliti watu milioni 44 na watu hawa wajipatia ufumbuzi wao hatakama uatawagharim kitu au kiasi gani?? la ni vigumu sana yeye kupata ufumbuzi pale ambapo watu hawa 44 milioni wkimsaliti.

Ila naamini hajawahi kulifikiria swala hili.
 
Inasikitisha sana jinsi vingozi wa sisiem wasivyo na kiona mbali. wala hawajali raia waliowaweka madarakani, Mungu tusaidie. Mtavuna mlichopanda.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom