Muuza Sura
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,985
- 1,345
Sugu ni mwanasiasa mpumbavu ambaye laiti angejua ushawishi aliokuwa nao kwa vijana wajinga kama wewe asingeridhia alichokifanya!!!utafiti unaonyesha kajiporomosha na clouds kaipandisha!hizo kura alipewa za huruma tu ila jamaa ni boya ushamba upo damunikwaio na wewe p.h.d ulimpokea Sugu?
Aisee!kumbe wasanii wenzake mnamuonea kijicho namna iyo,sikuwai kufikiria hii.