Technician
JF-Expert Member
- Mar 30, 2010
- 841
- 222
Arumeru Mashariki tutashinda.
Tumewashika na wameshikika. Tumejiandaa kuhakikisha
kwamba tunatangazwa washindi. Tumejiandaa pia
kuhakikisha kwamba hakuna mkurugenzi wala msimamizi
wa uchaguzi atakayediriki (chini ya ulinzi wowote ule hata
uwe wa ndege za kivita) kumtangaza mgombea wa CCM
wakati ameshindwa.
Mimi ndiye Mwenyekiti wa chama wa mkoa huu na kwa
mamlaka natamka kwamba CCM wasijidanganye. Na nilishawaambia
kwamba Arumeru Mashariki si Igunga. Wakijaribu! Wategemee
Hosni Mbarak mwingine Tanzania kutokea Arusha! Wakijitangaza,
hakuna kiongozi wa kitaifa wala wa mkoa wala wa wilaya
atakayejiuzulu badala yake tutaongoza wote nguvu ya umma
mpaka kieleweke! M.M. Mwanakijiji njoo Arumeru Mashariki
ushuhudie, utaandika vizuri zaidi.
SOUCRCE:TANZANIA DAIMA
Tumewashika na wameshikika. Tumejiandaa kuhakikisha
kwamba tunatangazwa washindi. Tumejiandaa pia
kuhakikisha kwamba hakuna mkurugenzi wala msimamizi
wa uchaguzi atakayediriki (chini ya ulinzi wowote ule hata
uwe wa ndege za kivita) kumtangaza mgombea wa CCM
wakati ameshindwa.
Mimi ndiye Mwenyekiti wa chama wa mkoa huu na kwa
mamlaka natamka kwamba CCM wasijidanganye. Na nilishawaambia
kwamba Arumeru Mashariki si Igunga. Wakijaribu! Wategemee
Hosni Mbarak mwingine Tanzania kutokea Arusha! Wakijitangaza,
hakuna kiongozi wa kitaifa wala wa mkoa wala wa wilaya
atakayejiuzulu badala yake tutaongoza wote nguvu ya umma
mpaka kieleweke! M.M. Mwanakijiji njoo Arumeru Mashariki
ushuhudie, utaandika vizuri zaidi.
SOUCRCE:TANZANIA DAIMA