Tamko la Lissu kuhusiana na sakata la kesi ya Arusha; Mbowe naye alonga

wakaanze kuwakamata mapacha wa3 then ndio wafikilie kuja kwa kamanda mbowe.
 
Crap
Hajajibu chochote hapo zaidi ya porojo nyingi zisizo na mashiko kabisa. Mdhamini wake mbona nae hakufika ? Mbowe hana kinga hiyo na akamatwe kwa kuidharau mahakama. Yeye avunje sheria eti ni kiongozi wa kambi kivuli ya upinzani. Mkae mkielewa kivuli, maana yake si halisi, hivyo yeye ni kiongozi wa kambi isiyo halisi hana nguvu.
hebu soma vizuri hiyo taarifa na kuielewa sio unakurupuka tu kutoka usingizini...hiyo kinga ni kwa wabunge sasa kam mbowe sio mbunge halisi then your right otherwise a crap....
 
CCM ina watu wa ajabu sana maana kwa CHADEMA basi kamata ila kwa CCM wao hapana huu uonevu kama huu lazima ukome kabisa maana kila mbunge ana haki katika Taifa la tanzania na kuona kunakuwa na uhuru sawa katika kutoa habari za kila upande.. Hongera sana kwa chadema katika kuona jinsi gani Taifa letu linakwenda vizuri sana
 
Mimi kuna kitu huwa sijakielewa bado, yaani Kiongozi wa kambi ya upinzani aache majukumu ya Kitaifa kwenda Arusha kumsikiliza tu hakimu anavyohairisha kesi mpaka tarehe nyingine, is it make any sense? Ninachowashauri wanasheria wa CHADEMA ni kumkataa huyo hakimu moja kwa moja maana sioni kama anaweza kutenda haki, na haki ionekane kweli imetendeka. SIAMINI.

Aise hii ni bonge ya shule kwa watanzania. Tundu Mungu akulinde maana macho umetufungua
 
kumbe sasa nimejua kwa nini kikwete alitamka wazi kuwa ni bora dr slaa awe rais kuliko Tundu Lisu kuwa mbunge,hapo nimekekukubali!
 
Hongera makamanda, kwakweli leo nimejifunza kitu kipya kabisa! Nilikuwa silijui hili jambo!! Hii ni moja ya faida kubwa niliyoipata tangu nijiunge jf!
 
Crap
Hajajibu chochote hapo zaidi ya porojo nyingi zisizo na mashiko kabisa. Mdhamini wake mbona nae hakufika ? Mbowe hana kinga hiyo na akamatwe kwa kuidharau mahakama. Yeye avunje sheria eti ni kiongozi wa kambi kivuli ya upinzani. Mkae mkielewa kivuli, maana yake si halisi, hivyo yeye ni kiongozi wa kambi isiyo halisi hana nguvu.
Unachotaka kutuambia ni kwamba Mbowe hana kinga siyo?Hana kinga kwa sababu si Mbunge au kwa sababu ni mbunge wa upinzani?Kambi kivuli ya Upinzani unayo ongelea ni ipi?Hivi ninyi watu kuelewa kwenu mpaka mchapwe viboko?
 
wewe ndo umejibu chochote?!!!! Wapi hujaelewa?? Mhe. Lissu anakuelezea kinga ya mbunge, sio kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni!!!!!!!!! Mbona mbunge wa busega kaandikiwa barua???? Shame on youuuuuuuuuu!!!!!!!!!

mijitu mingine bwana hata ku reason kazi!!!!!!!!!!!!! Kweli tanzania bado tunasafari ndefu!!!!!!
 
NilipoRED naomba nikujuze. kwa mujibu wa Utawala wa sheria Doula inaundwa na mihimili mitatu yaani Serikali, Bunge na Mahakama. Hivyyo Bunge na Mahakama vipo at per na Serikali kwa mujibu wa Rules of law.

Unaposema taarifa zao zimekataliwa mahakamani ni lazima kuwe na sababu nayo ni lazima iwekwe bayana. haiwezekani kusema tu hakimu anajuwa vikao va bunge japo anasoma na kuona kwenye TV vikao vinaendelea. lazima apate kitu cha ku document kitu ambacho nina hakika Mbowe na wenzake hawajafanya. walitaka njia mkato.

na kama taarifa zao zilikataliwa wana haki kamili ya kulalamika na kutaka kuelezwa kwanini taarifa ile hakimu alikataa na hapo sheria itachukua mkondo wake.

Tuwe wawazi Sheria si mchezo ni msumeno mkali sana.

Nimekubali ulichosahihisha nilipitiwa badala ya kusema dola nikasema serikali anyway, mimi na wewe nafikiri mjadala wetu umekwisha , maana Mh Mbowe alitoa taarifa na Mwakilishi wake nae pia inasemekana alitoa taarifa kwamba yu mgonjwa labda tu itatakiwa uthibitisho wa Daktari.

Ila ndugu yangu amini usiamin tuache ushabiki watumishi wengi wa serikali bado wanafanya kazi kwa mtizamo wa mfumo wa chama kimoja, kwa mfano kilichompata Lissu tarime angelikuwa ni mbunge wa ccm angelitendewa tofauti hapo ndipo kwenye tatizo, sasa Mh Lissu amefunua na kuwapa changamoto Mahakimu pamoja na Polisi kwamba kunataratibu za kumkamata Mbunge na zipo kwenye sheria Mama yaani katiba.
 
Kwa wabunge wa Upinzani hakuna kibali ila wa CCM kuna kuomba kibali soma hapa;

kwa WABUNGE WA CCM hata kumhoji mbunge tuu mpaka kibali kinatafutwa kwa Spika wa Bunge sasa Kiongozi wa Upinzani kunanini au wabunge wa Upinzani?
 

Attachments

  • mwanza0001[1].pdf
    1.2 MB · Views: 68
Kwa wabunge wa Upinzani hakuna kibali ila wa CCM kuna kuomba kibali soma hapa;

kwa WABUNGE WA CCM hata kumhoji mbunge tuu mpaka kibali kinatafutwa kwa Spika wa Bunge sasa Kiongozi wa Upinzani kunanini au wabunge wa Upinzani?

Duuh kitengo cha uchunguzi cha cdm kiboko
 
Though sio mwana magamba but hapa CDM wanakwepa kwepa tu kukiri makosa. kama yeye alikuwa kikazi bungeni sio ndio maana sheria zikagundua hilo kuwa kuna dharura ndio maana wakawekwa wadhamini.

Binafsi Sikubaliani na haya majibu

Hivi mbunge akiua kesho yake akiwa bungeni basi hakimu hatakiwi kutoa amri kama kakiuka sheria ya kuhudhuria mahakamani. Sio mwanasheria lakini mahakama ni Autonomus Entity. Wabunge wasitake kujifanya wako juu ya sheria.

Yaani wanataka kusema nchi hii iwe na sheria mbili moja ya wabunge na moja ya wanachi. Hiyo kinga ya bunge wanataka ku mis use.

Mbowe akiri kubugi step. Hizi sheria za kuwalinda a kuwafanya wabunge kuwa above the law tuzikate tena CDM wawe mfano. Sio kwa sbabuwa CCM wanabewa basi na wao waone inafaa.....
 
.

hapo nilipoRED nafikiri Mh Lissu amepafafanua vizuri katika tamko lake. Soma vizuri kisha lete hoja

Sasa asiyeelewa ni mimi, ama ni wewe Ndg Barubaru?

Ngoja nikuelelweshe...

Kinga za mbunge sio tu kwa sababu mbunge 'ana majukumu' ya kibunge kwa wakati husika, bali pia kwa sababu 'ni mbunge' kwa wakati husika. Hii ina maana kuwa hata kama mbunge awe anapiga soga kutwa pale mjini, bado hawezi kukamatwa katika kama ni kipindi ambacho kisheria haruhusiwi kukamatwa bila kibali cha spika.
Kwa hiyo huyo hakimu hakutakiwa kupata taarifa kuwa 'nina majukumu ya kibunge' hivyo nisikamatwe, bali 'nina majukumu ya kibunge' hivyo sitafika mahakamani. Huyo hakimu anapaswa kujua kuwa HUYU NI MBUNGE (na anajua hilo), hivyo anatakiwa kukamatwa kwa kibali cha spika kwa wakati huu ambao ana kinga ya kisheria (wakati ambapo kama hakuujua, angeuliza katika ofisi ya bunge).

Hii ni sawa na mtu upeleke mashataka dhidi ya Mkapa leo, DPP hawezi akafaili kesi kwa sababu anajua kuwa Mkapa ana kinga ya kisheria. The same applies to Kikwete na anybody else.
Hivyo, ni jukumu la hakimu kujua anapotoa hati ya kukamatwa kwa mbunge, je hati hiyo iambatane na kibali cha spika au la? Wewe kama mbunge, huwezi mwambia hakimu eti, kwa sasa nina kinga, hivyo omba kwanza kibali kwa spika kabla hujaja kunikamata?

Umeelewa mkuu?
 
<b><font color="seagreen">Crap</font></b><br />
<b><font color="darkred">Hajajibu chochote hapo zaidi ya porojo nyingi zisizo na mashiko kabisa. Mdhamini wake mbona nae hakufika ? Mbowe hana kinga hiyo na akamatwe kwa kuidharau mahakama. Yeye avunje sheria eti ni kiongozi wa kambi kivuli ya upinzani. Mkae mkielewa kivuli, maana yake si halisi, hivyo yeye ni kiongozi wa kambi isiyo halisi hana nguvu.</font></b>
<br />


Kama haujailewa hoja ya Lissu basi mwenzetu wewe una dosari sehemu!!
Kama si halisi mbona analamba so many financial benefits na even more benefits in kind? Use ur head at least for once in ur misarable life!!
 
Kisheria Hakimu haruhusiwi kukataa taarifa zozote za maandishi labda ziwe na matatizo kisheria. labda hakuna taarih, hakuna saini n.k.

nakuomba ulielewe hilo.

Jamani tusimtetee mtu aliyekula kiapo cha kulinda sheria za nchi yenu.

shukrani kwa shule mkuu... MBowe ameenda tayari,
 
hivi hii tunza nia inakwenda waapi, inamaana wabunge wa upinzani huwa wako nje ya sheria kila wakitenda haki na ndani ya sheria wakisujudia uovu? if we are lead by a fool then we wont get away from foolishness because the poison is not strong but hurmfukl to the clear mind. nalinukuu gamba kuu '' penye vita ya haki ushindi ni lazima '' naamini kambi ya upinzani ikiongozwa na cdm hakutakuwa na kuchoka katika kuixchukua haki ya watanzania iliyoko mikononi mwa nyooka walijitoa magamba tayari kwa kuanza mawindo upya.
hata marehemu anapoyakalibia mauti huchanganyikiwa na kuamua vitu hata visiyvo akitakatu kulazimisha ukweli kuwa uongo. yaani kwa wanyakyusa kule mbeya wangesema '' komagha lyendege tukinde kutali ''
 
Unachotaka kutuambia ni kwamba Mbowe hana kinga siyo?Hana kinga kwa sababu si Mbunge au kwa sababu ni mbunge wa upinzani?Kambi kivuli ya Upinzani unayo ongelea ni ipi?Hivi ninyi watu kuelewa kwenu mpaka mchapwe viboko?

Kambi ya aliyounda Mbowe mawaziri wake wanaitwaje ? kila waziri lazima liwepo neno 'kivuli' , kwa maana hiyo basi yeye ni kiongozi wa kambi kivuli . Na kivuli maana yake sio halisi ni feki
 
Crap
Hajajibu chochote hapo zaidi ya porojo nyingi zisizo na mashiko kabisa. Mdhamini wake mbona nae hakufika ? Mbowe hana kinga hiyo na akamatwe kwa kuidharau mahakama. Yeye avunje sheria eti ni kiongozi wa kambi kivuli ya upinzani. Mkae mkielewa kivuli, maana yake si halisi, hivyo yeye ni kiongozi wa kambi isiyo halisi hana nguvu.




Hujui lolote toka kwenye hili jukwaa la great thinkers..... kasome a, e,i,o,u kwanza ndio uje huku.....Kimsingi sheria inalinda wabunge woote wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania na wala hailindi kivuli, kikatiba Kambi pinzani bungeni ni moja tu hakuna kambi kivuli kuna kambi pinzani bungeni inayosimamiwa na Chadema kwa sasa kwa hiyo Mahakama haina mamlaka ya kumkamata mbunge yeyote akiwa katika kazi za kibunge na huyo akimu yawezkana kabisa ni wale waliosomea chini ya mwembe na sheria kuandikwa chini na wakasahau...in short hajui sheria za bunge
 
Back
Top Bottom