Tamko la kamati kuu ya CHADEMA kuhusu mchakato wa katiba

Wao wameshika makali sisi tumeshika mpini. Watanzania tusife moyo saa ya ukombozi iko karibu. Hicho kisu kitawakata muda sio mrefu. Imedhihirika kwamba CCM hawataki mabadiliko. Maandamano yataanzia Zanzibar wanataka Zanzibar itambulike kama nchi na ni haki yao kudai hinyo.
 
Nimeshiiiba pilau ya kwa kina uporoto, wacha nikalale nyinyi kwanza hangaikeni kutafuta jibu la swali langu post #86, nikiamka ntakuja na mengine, ntawaona after 1 hour.

Uporoto ahsante kwa pilau na poleni sana kwa mara nyingine.
 
This is important step ... The first on the list! .... To make our community know exactly what went wrong ..!!
 
Hayo yote uliyoyabandika ni maneno ya muandishi hakuna hata sehemu moja aliyom "quote" Zitto. Muandishi ana uhuru wa kutoa maoni yake,

Mimi nna kuhakikishia Zitto hana lake hata moja katika hilo lililobandikwa hapo juu. Hakuna nnakataa, hilo juu hapo lipo "too shallow", Zitto kina chake ni kirefu zaidi ya hivyo.

ukiona gamba linakusifu basi hapo kuna kitu! We tokea lini adui akasifia silaha za adui mwenzake... Hujue hapo hakuna kitu!
 
Hivi msomi haswa, anaandika hivi:

"kimepokea na kujadili kwa kina taarifa ya majadiliano"

Hivi magwanda mlikuwa mna "taarifa ya majadiliano"? ndiyo ipi hiyo?

Na hapo ndio sijaenda hata kwenye taarifa. Daaahhh, nawaonea huruma sana, hebu someni vizuri kabla hamjaanza "upiganaji" wenu na mimi. Maana kupigana mimi hamniwezi. Bora tubaki kubishana kwa hoja. Haya niambieni ni ipi hiyo taarifa ya majadiliano?

ina maana una nguvu kiasi gani mpaka tusikuweze!?
 
Hivi msomi haswa, anaandika hivi:

"kimepokea na kujadili kwa kina taarifa ya majadiliano"

Hivi magwanda mlikuwa mna "taarifa ya majadiliano"? ndiyo ipi hiyo?

Na hapo ndio sijaenda hata kwenye taarifa. Daaahhh, nawaonea huruma sana, hebu someni vizuri kabla hamjaanza "upiganaji" wenu na mimi. Maana kupigana mimi hamniwezi. Bora tubaki kubishana kwa hoja. Haya niambieni ni ipi hiyo taarifa ya majadiliano?

welcome back
 
Onesha ni wapi, uongo huo wa wazi wazi.

Hongera Kamati Kuu ya CHADEMA kwa tamko Makini mpaka linalomvutia Kuwadi wa Gamba Kuu Rostam. FF endelea kula Desa ikiwezekana wapelekee wazee wako wa Lumumba wa copy na ku paste
 
Poeples power ndiyo suluhisho la kweli na dawa ya viongozi wanaofikiri uongozi ni mali yao na kusahau tuliwaweka sisi.Tamko la chadema ni sahihi kabisa
 
Nimependa hilo tamko, linatekelezeka, na litatoa fulsa ya wananchi wazalendo na wanyonge kuamua Tanzania gani wao wanaitaka. Chadema simamieni tamko lenu, wananchi wengi tunawaunga mkono kwa hili. Tunataka nguvu ya umma ijidhihilishe. Tuko pamoja, MSISITE.:A S 465:
 
Wewe nae kwani ukiwa kwenye mtandao lazima uandike kwa lugha usiyoijuwa? ndiyo nini hicho ulichokiandika? si bora ungeandika kichaga tu, wengi wangekuelewa humu.
Na wewe unaongea kiwapi?

Hujaacha roho mbaya tu?
 
Hivi mlivyoandika mlikuwa mnafikiri nini? hilo nalo unaweza kusema ni tamko la "wasomi" kweli? kutoka moyoni mwako haswa? mnanisikitisha sana na huu usomi wenu.

Siamini kama Zitto ana lake katika hayo yaliyoandikwa, Zitto si mbumbumbu kiasi hicho.



M'baguzi Utamuona tu! Ndo Tabia Yako wewe Na Raisi Wako! Tumewazoea. Zito Might Be Bigger Than What u think u can inject into his mind!
:lol:
 
ccm inatoa tamko chadema inatoa tamko mnatuchosha tuchague lipi? tengenezeni utaifa katika mjadala huu

Kumbe wewe so mwanachama wa chama chochote?

Nakereka sana mtu unapoongelea nafsi yako halafu unawaweka na wengine> Kama umechanganyikiwa na matamko ni wewe mwenyewe, wenye akili zetu tuko saafi!
 
Spot on CHADEMA.

Hili la Katiba Mpya sio la mzaha au ki-itikadi kama Kikwete na ccm walivyolichukulia na kuliweka. Sawa ccm wanayo wingi wa wabunge lakini sio msingi wa hoja hapa.

Kabla mambo hayajaizidi kwenda kombo kwa hii serikali warudi chini haraka na kutubu na kujisahihisha.
 
Vipi uwezekano wa kwenda mahakamani ku-stop sheria isitumike wakati mswada utaposainiwa na rais kuwa sheria ili kuipinga sheria hiyo kama sheria inayokiuka katiba?
 
Back
Top Bottom