Mabom sio issue tumezoea freshBado hujakidhi haja yetu tueleze kwa kina watu tuandae zetu maji ya kukabiliana na mabomu ya machozi
Sasa na cuf wasipowaunga mkono chadema kusiwepo namalalamiko,kila mtu kivyake sasa,kila muosha huoshwa.
ache waige kwani wao kuwa hawana cha kuanzisha, wakati mwingine huiga makanisani, wakati mwingine CUF etc. Funny.
CUF na ccm ni ngumu kuwatenganisha bora kuangalia kwingine!