Tamko la Jumuiya ya Madaktari Tanzania

Mkuu Manyi, hapo ndipo unapokosea kudhani "nipo kazini"..anyway, back to the topic,personally nina mdogo wangu ambaye amekumbwa na mkasa huu, lakini ninavyojua mimi sio Intern pekee walioacha kazi(registrar and some specialists)

Madhara ya mgomo ni pamoja na kuwa nje ya kituo cha kazi,lakini it seems una uelewa mkubwa katika fani(kama wewe si daktari)...jiulize from Anatomy course till Forensic, hakuna course za kukuweka mjini?SINCERELY???!

Tatizo sisi madaktari hatupendi kujishusha , nikiwa namaanisha tuna "KIBURI"..mtu unajua huna kazi, halafu kijikazi kinajitokeza(chenye mshahara ambao si sawa na jle uliokuwa unaupata ingawa mshahara wenyewe si haba) mtu HATAKI, eti "ooh! mshahara mdogo siwezi kuifanya hicho kijikazi", mara "ooh, nitaua fani?"..sada mtu ukiwa IDLE ndio unajenga hiyo fani?!

Ni kweli it's a noble proffesion but when it comes to the time we need/we are suppose to be humble and low, we should go through that and learn from it.

And personally, hilo ndiyo nadhani ni tatizo, mkuu.
 
kwa taarifa yako chitage,godbles na kagoro ni intern doctors.they feel the same pinch as most of the interns do!mkichangia mtafute facts kwanza na sio kukurupuka.

Hiyo haimaanishi kuwa hata kama wao ni Interns basi kila lisemwalo na wao ndo sahihi, na ukumbuke kuwa hata katika mgomo wa kwanza na wa pili siyo interns wote waliokubaliana ma migomo hii! Hata madaktari wenginw pia hawakuwa katika ku-support migomo hii. Binafis mke wangu na mdogo wangu ni madaktari, na mdogo wangu ni Intern, kwa hiyo usidhani tunaandika kwa ubishi tu. Kama wao wanaona matamko hayo na migomo kwa Tanzania hii yatawasaidia is well and good! Bado nasisitiza na nitaendelea kusisitiza, nitawaona wapumbavu kama 2015 wataendelea kuichagua CCM ilihali inawaharibia maisha.
 
wakuu hii ni ile jumuiya ya madaktari iliyokuwa ikitoa matamko ya migomo hapo awali.

tusubiri tuone nani 'wachache' na wapi wanatumiwa.
Hapa kuna wanaotumiwa na upinzani , wanaotumiwa na serikali na wale wasiokuwa upande wowote hawa ndio wengi na hawa nadhani ndio walio omba radhi
 
Kitendo cha wewe kushiindwa kutofautisha registrar na intern kinaonyesha huna akili timamu. Registrar anaweza kufanya kazi mahali popote, ameshapata kibali cha kuwa daktari kamili. Intern hana kibali hata cha kufanya kazi. Registrar aliyefukuzwa kazi leo asubuhi kesho unamkuta kwenye hospitali binafsi kaajiriwa - wenyewe wanaita kiosk. Intern unamkuta kijiweni.

Na hilo la kuingiza udini bila sababu iliyo rasmi inadhihirisha huna malengo mazuri. Udini umeingiaje katika tunachojadiri? Hii yote inaonyesha jinsi wewe na viongozi wenzako wa mgomo mlivyo desperate kuchafua nchi kwa maslahi mnayoyajua nyinyi. Ndio maana unajisahau na kuongea vitu vilivyokujaa kichwani hata pale ambapo sio mahali pake!!!

mkuu kuna interns kadhaa wanaojitambua nimekutana nao wakifanya kazi kwenye DDH.hivi mbona kama CO anatibu bila registration iweje intern ashindwe?you are too theoretical my friend.na hiki ndicho kinachokupa kiburi kwa sababu hufanyi clinical medicine.
 
Hiyo haimaanishi kuwa hata kama wao ni Interns basi kila lisemwalo na wao ndo sahihi, na ukumbuke kuwa hata katika mgomo wa kwanza na wa pili siyo interns wote waliokubaliana ma migomo hii! Hata madaktari wenginw pia hawakuwa katika ku-support migomo hii. Binafis mke wangu na mdogo wangu ni madaktari, na mdogo wangu ni Intern, kwa hiyo usidhani tunaandika kwa ubishi tu. Kama wao wanaona matamko hayo na migomo kwa Tanzania hii yatawasaidia is well and good! Bado nasisitiza na nitaendelea kusisitiza, nitawaona wapumbavu kama 2015 wataendelea kuichagua CCM ilihali inawaharibia maisha.

hebu waulize hao ndugu zako kama matamko yalikuwa ni ya kina chitage au maamuzi ya vikao?
 
Hili ndo tamko la maana, lile la jana ni ngonjera ya kumliwaza jk.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Safi sana! Naanza kuamini kwamba Dr. Uli hajahongwa bil. 5 na kuhamia nje ya nchi.
 
tusubiri tuone nani 'wachache' na wapi wanatumiwa.
Hapa kuna wanaotumiwa na upinzani , wanaotumiwa na serikali na wale wasiokuwa upande wowote hawa ndio wengi na hawa nadhani ndio walio omba radhi
mimi ni mtu wa subira!
 
jamaa wale wajana walikuwa wametumwa tu cz sura zao zilikuwa zinaonyesha mashaka mashaka hata walipokuwa wanatamka taarifa yao........siju wale jamm walisomea wapi ambao hata kufikira hawa wezi kabisa.......hata mtoto mdogo anajua that ukiomba msamaha unakuwa umekiri kosa thn adhabu inafuata so wale jamaa wanafikiri kujishobolesha kwa watawala ndio suluhisho kweli wamefilisika sana wale.... tatizo njaa kali.........hatakufikiri wameshindwa na hawajui that hata hiyo lakisaba wanayoipata nw days interns kuna watu walisuffer ndio ikapatikana kweli wale hawafikiri in three dimension such as past present and future..........
 
Madaktari wanaanza kwa kuzungumzia Daudi Mwangosi na Mwanahalisi! Kweli siasa imeingia mahala pa kazi!
 
unataka kuniambia huyu intern alichogomea kimetimizwa?ni mara ngapi tumesikia mishahara ya interns imechelewa pengine hata miezi mitatu,waliishi vipi?je tatizo hilo limerekebishwa kiasi kwamba unaomba kurudi kazini?tume ya kushughulikia matatizo ya interns iliishia wapi?mahospitali yetu yama dawa au vipimo?
Kwa ufupi, kilichokuwa kinadaiwa na hawa interns kimetekelezwa?

Unachotakiwa kujiuliza ni je, registrars na specialists waliorudi kazini wameona hayo yametekelezwa. Sijui umesoma wapi lakini unatakiwa kuwa umefundishwa kuwa it is unethical mzigo wa pamoja kubebwa na the most vulnerable group. Katika madaktari interns ndio the most vulnerable, kwanini waachiwe mzigo wa fani nzima peke yao?

Viongozi wa Jumuiya ya Madaktari uliowataja hapo juu wote ni interns, kwanini hakuna registrars au specialists? Je ni sahihi fani kuongozwa na kundi la vijana wapya kabisa kwenye fani? Kama kwenye kutibu wanasimamiwa na kuongozwa, kwanini kwenye kudai haki wao ndio wanawekwa vinara au ndio kuwatumia kama human shield?
 
wale jamaa walikuwa wametumwa tu.........as walikuwa hawajiamini kabisaa.........na sijui wana tumia nini kufikiri as hata mtoto mdoga nanajua ukikiri kosa kifuatacho ni adhabu so wale jamaa wanadhani kujishobolesha kwa watawala ndio suluhisho kweli wanatumia kichwa kufugia nywele tu na sio kufikiri......... wangekuwa wanafikiri wasinge fanya vile....... sijui wamesoma wapi huo udaktari as ma dr hawako vile.........jamaa wanatakiwa wafikiri in three dimensions na sio kufikiri kama kuku tu,,,,,,,,,,,,, wanatakiwa wa include past present na futre in their thoughts as hata huo mshahara wa laki saba wanao urudia kuna watu wali pigika na wao leo wanakula matunda...........sowakajipange upya wasilete matamko yasiyo na maana
 
i feel bad when a government of ccm turn tables of truth by dividing people this way. I feel that they-ccm- they came into power to steal Tanzanian wealth, create chaos among Tanzanians and go back ot where they came from.

I feel that peoples power -chadema- will gain more populality among Tanzanian due to failure of ccm to uphold simple principles of good governance such as trustworth and ubuntu,

i just feel bad for ccm and sorry for poor
Tanzanians.
 
Unachotakiwa kujiuliza ni je, registrars na specialists waliorudi kazini wameona hayo yametekelezwa. Sijui umesoma wapi lakini unatakiwa kuwa umefundishwa kuwa it is unethical mzigo wa pamoja kubebwa na the most vulnerable group. Katika madaktari interns ndio the most vulnerable, kwanini waachiwe mzigo wa fani nzima peke yao?

Viongozi wa Jumuiya ya Madaktari uliowataja hapo juu wote ni interns, kwanini hakuna registrars au specialists? Je ni sahihi fani kuongozwa na kundi la vijana wapya kabisa kwenye fani? Kama kwenye kutibu wanasimamiwa na kuongozwa, kwanini kwenye kudai haki wao ndio wanawekwa vinara au ndio kuwatumia kama human shield?
to me the most vulnerable group ni specialists ambaye anaweza kupoteza ajira na kukosa mafao.
 
mkuu kuna interns kadhaa wanaojitambua nimekutana nao wakifanya kazi kwenye DDH.hivi mbona kama CO anatibu bila registration iweje intern ashindwe?you are too theoretical my friend.na hiki ndicho kinachokupa kiburi kwa sababu hufanyi clinical medicine.

Inaelekea unaongea kama mtoto wa kijiweni, na hili ndio kosa lenu - kutumia common sense badala ya kutafuta facts. It is illegal kwa daktari wa MD kumgusa mgonjwa kama hajapewa leseni ya kutibia waginjwa. Intern huwa wanapewa leseni ya mwaka mmoja katika kitua chao cha internship, hao wanaoenda kutibia mitaani wanavunja sheria na wakikamatwa wakafikishwa kwenye vyombo vya sheria watakuhumiwa.
Hizo logic za kufananisha CO na MD zinamake sense sana lakini sheria na kumake sense ni vitu viwili tofauti. Sheria haimtaki CO kula kiapo, haimtaki kusajiriwa na MCT.

Ifike mahali mkubali kuwa kitendo chenu cha kukataa ushauri wa kutokugoma kimeleta madhara zaidi bila manufaa...
 
to me the most vulnerable group ni specialists ambaye anaweza kupoteza ajira na kukosa mafao.

Yaani unaamini maprofesa ambao wana vidispensary vyao na wagonjwa kibao, miradi kibao, wameshajenga nyumba (wengine zaidi ya moja), wameshasomesha watoto, wana mashamba ndio wanatakiwa kubaki kazini halafu intern fresh from school ambaye hata kutibu bado hajajua afukuzwe kazi!!!

Kweli huu mgomo mliouitisha umekosa viongozi kama hii ndio thinking yenu. Na ndio maana mgomo umefail...
 
Inaelekea unaongea kama mtoto wa kijiweni, na hili ndio kosa lenu - kutumia common sense badala ya kutafuta facts. It is illegal kwa daktari wa MD kumgusa mgonjwa kama hajapewa leseni ya kutibia waginjwa. Intern huwa wanapewa leseni ya mwaka mmoja katika kitua chao cha internship, hao wanaoenda kutibia mitaani wanavunja sheria na wakikamatwa wakafikishwa kwenye vyombo vya sheria watakuhumiwa.
Hizo logic za kufananisha CO na MD zinamake sense sana lakini sheria na kumake sense ni vitu viwili tofauti. Sheria haimtaki CO kula kiapo, haimtaki kusajiriwa na MCT.

Ifike mahali mkubali kuwa kitendo chenu cha kukataa ushauri wa kutokugoma kimeleta madhara zaidi bila manufaa...
ndio maana nikasema you are too theoretical,hujatembelea mahospitali yetu.intern ana uwezo mkubwa sana kuliko CO na anaweza kutibu ndio maana private hospitals zinaweza kumpa ajira ya part time.hata hapo muhimbili wanagusa wagonjwa na ndio wafanyakazi wakubwa.
My point ni moja tu kama CO anatibu iweje intern aliyefukuzwa ashindwe?isitoshe some of the interns walikuwa ma-CO.kikwazo cha registration hakiwezi kusababisha intern kufa njaa mtaani.intern huyu anaweza ku opt kufanya kazi za public health n.k kamwe hawezi kukosa kazi.kwani wewe unatibu?si unafanya kazi ya afya bila kutibu!
Vaa viatu vya madaktari wanaotibu halafu toa comments zako.
 
Back
Top Bottom