Tamko la Jumuiya ya Madaktari Tanzania

Mwinyi na mbando changamkeni kabla balaa halijaanza.
Mwema toa majibu ya tume ya Kova haraka.upepo umerudi tena.mimi kazi yangu ni kuonya tu!


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
 
nashukuru madaktari kwa kutambua umuhimu wa waandishi wa habari.mwangosi na ulimboka ni mashuhuda wa udhalimu wa polisi.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
 
Binafsi nilishajua nini kitatokea, kama kuna ambaye alishawahi kuangalia (kufuatilia) comments zangu kuhusu tukio zima la huo mgomo nadhani atakumbuka.
 
haturuhusiwi kuandika majina ya watu humu ... mkuu trust me kwenye mgomo wenu kuna watu walikuwa wakishiriki ilimradi tu msiwaone wasaliti lakini mioyoni hamkuanao walikuwa wakiwaza zaidi hatima ya kazi zao za ziada mbali na kutibu ... jaribu kuchunguza mwenyewe ushiriki wa wakuu wa department, miradi, DMO, RMO na wale wenye majina makubwa mjini
kwenye kundi la mamba kenge wanapatikana.sitegemei great thinker ameshindwa kutambua hili.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
 
Full confusion...wengine wanageuza fani kama hizi ni vile vyeo vya siasa wanavyogombania na kupita bila kupingwa.

njia ya mwongo ni fupi!!

Matamko yanakuwa mengi kuliko matendo.

tunajua mwenyekiti wa jumuiya ya madaktari ni dr ulimboka, je na yeye ameshiriki kuandika taarifa hii??

Full confusions!


Uoga na ubinafsi unadhihirika waziwazi. Taarifa inatolewa bila jina la kiongozi aliyotoa, why? Kwanini taarifa inatolewa mafichoni? mbona mwanzo walikuwa wanaita waandishi wa habari live?

Hii inayojiita jumuiya ya madaktari bado haijitambui. Hata inavyoongea ni kama chama kinachojaza fomu ya kuipeleka kwa Tendwa!!!
 
Naona bado watu mnatafutana uchawi na mambo meengi! Matatizo yenu hayataisha kama 2015 mtaendelea kuipa kura CCM! Tusubiri tuone ili saga.
 
Uoga na ubinafsi unadhihirika waziwazi. Taarifa inatolewa bila jina la kiongozi aliyotoa, why? Kwanini taarifa inatolewa mafichoni? mbona mwanzo walikuwa wanaita waandishi wa habari live?

Hii inayojiita jumuiya ya madaktari bado haijitambui. Hata inavyoongea ni kama chama kinachojaza fomu ya kuipeleka kwa Tendwa!!!

Mkuu, ZeMarcopolo, i salute to the comment.
 
hujaangalia Tv mkuu?waliotoa taarifa ni Godbles,chitage na Kagoro.najua umeumia sana kwani wewe ni miongoni mwa madaktari mamluki!ishauri serikali ishughulikie matatizo ya sekta ya afya na sio kutumika kuaandaa propaganda.kwa nini hutaki kuona huduma bora za afya nchini?au kwa kuwa wewe umefanikiwa kupitia hii corrupt system,acha unafiki ndugu yangu.

Soma tena na tena ripoti yao. Hakuna sehemu wanayosema kuwa mgomo ni halali. Viongozi wote wameukana mgomo mahakamani.

The fact kwamba madaktari walirudi kazini kusave ajira zao ni ujumbe tosha kuwa wameomba msamaha. Sasa wakati hayo yanatokea, hawa interns walikuwa wameshafukuzwa, hawakupata fursa ya kuomba msamaha ndio maana wanaomba kwa nji ahii. Na wao wangekuwa na fursa kama mliyotumia nyinyi ya kurudi kazini wangerudi. Wao hawana leseni ya kufanya kazi sehemu nyingine. Nyinyi mliokuwa na leseni lakini mkaogopa kurisk maisha ya ajira zenu. Kwanini mnakuwa na roho ngumu kiasi cha kutokujali wenzenu???!

Mgomo umefail, kimsingi kwa sababu haukuwa na malengo mazuri. Mgomo ulianza kama vuguvugu la kutetea haki za interns wa Muhimbili, lakini umeishia kuwatesa interns wa nchi nzima. Kumbuka kuwa interns wa Muhimbili walisema hawataki kwenda kufanya internship sehemu nyingine kwa sababu huko (kama Ifakara, Mwananyamala, Amana na kwingineko) hakuna kiwango cha kutosha kivifaa na wasimamizi.

Hao uliowataja wameshatoa matamko mangapi tangu mgomo uanze? je matamko hayo yamemsaidia nini daktari? Watu hawaishi kwa matamko ati!!!
 
Uoga na ubinafsi unadhihirika waziwazi. Taarifa inatolewa bila jina la kiongozi aliyotoa, why? Kwanini taarifa inatolewa mafichoni? mbona mwanzo walikuwa wanaita waandishi wa habari live?

Hii inayojiita jumuiya ya madaktari bado haijitambui. Hata inavyoongea ni kama chama kinachojaza fomu ya kuipeleka kwa Tendwa!!!

wewe ndiye mwoga na msaliti namba moja!kwa nini hutaki kuona sekta ya afya nchini ikiboreka?kwa nini usitumie elimu yako kuishauri serikali badala yake unafanya propaganda kurudisha nyuma juhudi za madaktari wenzako?mpango mlioandaa umeshindwa na sasa una backfire!stay tuned!mmelianzisha wenyewe!
 
Mkuu Genecius Kaiza, wale wasaliti mkuu, wenye kutaka mambo yaende bila mpangilio..wenye kutojiamibi na maamuzi pindi hatua ngumu zinapohitajika kutekelezwa.

Wewe unaongea kwa urahisi sana, wenzako wale wa jana hawana kazi, unajua huu ni mwezi wa ngapi? Wengi wao wamekuje mjini kwa sababu ya Chuo na wengi walikuwa pale MNH. Nani anawpa pesa ya kujikim? ni MAT au Jumuiya ya Madaktrai? Ni rahisi kusema hivyo kwa kuwa wewe unakula mshahara wako mwisho wa mwezi! Wenzako wananjaa! Wafanyeje? Na wengine kumbuka walikuwa wameanza kutegemewa. Mkakati walishaukosea Madaktari toka mwanzo, kwani walitakiwa wote kwa pamoja, Interns, REgistrars, Residents na Ma Chief wote wakaze buti. Hali ilipofikia ya kuwatoa kafara Interns ni upuuzi tu. Kumbuka, mwisho wa siku kila mtu anatafuta maisha yake na familia yake!
 
Soma tena na tena ripoti yao. Hakuna sehemu wanayosema kuwa mgomo ni halali. Viongozi wote wameukana mgomo mahakamani.

The fact kwamba madaktari walirudi kazini kusave ajira zao ni ujumbe tosha kuwa wameomba msamaha. Sasa wakati hayo yanatokea, hawa interns walikuwa wameshafukuzwa, hawakupata fursa ya kuomba msamaha ndio maana wanaomba kwa nji ahii. Na wao wangekuwa na fursa kama mliyotumia nyinyi ya kurudi kazini wangerudi. Wao hawana leseni ya kufanya kazi sehemu nyingine. Nyinyi mliokuwa na leseni lakini mkaogopa kurisk maisha ya ajira zenu. Kwanini mnakuwa na roho ngumu kiasi cha kutokujali wenzenu???!

Mgomo umefail, kimsingi kwa sababu haukuwa na malengo mazuri. Mgomo ulianza kama vuguvugu la kutetea haki za interns wa Muhimbili, lakini umeishia kuwatesa interns wa nchi nzima. Kumbuka kuwa interns wa Muhimbili walisema hawataki kwenda kufanya internship sehemu nyingine kwa sababu huko (kama Ifakara, Mwananyamala, Amana na kwingineko) hakuna kiwango cha kutosha kivifaa na wasimamizi.

Hao uliowataja wameshatoa matamko mangapi tangu mgomo uanze? je matamko hayo yamemsaidia nini daktari? Watu hawaishi kwa matamko ati!!!

ukiacha interns kuna registrars waliopoteza kazi zao,najua unalijua hili lakini ni kiburi chako cha kifisadi na kidini tu.
 
Wewe unaongea kwa urahisi sana, wenzako wale wa jana hawana kazi, unajua huu ni mwezi wa ngapi? Wengi wao wamekuje mjini kwa sababu ya Chuo na wengi walikuwa pale MNH. Nani anawpa pesa ya kujikim? ni MAT au Jumuiya ya Madaktrai? Ni rahisi kusema hivyo kwa kuwa wewe unakula mshahara wako mwisho wa mwezi! Wenzako wananjaa! Wafanyeje? Na wengine kumbuka walikuwa wameanza kutegemewa. Mkakati walishaukosea Madaktari toka mwanzo, kwani walitakiwa wote kwa pamoja, Interns, REgistrars, Residents na Ma Chief wote wakaze buti. Hali ilipofikia ya kuwatoa kafara Interns ni upuuzi tu. Kumbuka, mwisho wa siku kila mtu anatafuta maisha yake na familia yake!
how many young individuals outhere are jobless?unadhani ni nani wa kuwakomboa kama ninyi wasomi mtaogopa kuishi bila kazi?the strike was and still valid for the sake of mtanzania maskini.
 
Soma tena na tena ripoti yao. Hakuna sehemu wanayosema kuwa mgomo ni halali. Viongozi wote wameukana mgomo mahakamani.

The fact kwamba madaktari walirudi kazini kusave ajira zao ni ujumbe tosha kuwa wameomba msamaha. Sasa wakati hayo yanatokea, hawa interns walikuwa wameshafukuzwa, hawakupata fursa ya kuomba msamaha ndio maana wanaomba kwa nji ahii. Na wao wangekuwa na fursa kama mliyotumia nyinyi ya kurudi kazini wangerudi. Wao hawana leseni ya kufanya kazi sehemu nyingine. Nyinyi mliokuwa na leseni lakini mkaogopa kurisk maisha ya ajira zenu. Kwanini mnakuwa na roho ngumu kiasi cha kutokujali wenzenu???!

Mgomo umefail, kimsingi kwa sababu haukuwa na malengo mazuri. Mgomo ulianza kama vuguvugu la kutetea haki za interns wa Muhimbili, lakini umeishia kuwatesa interns wa nchi nzima. Kumbuka kuwa interns wa Muhimbili walisema hawataki kwenda kufanya internship sehemu nyingine kwa sababu huko (kama Ifakara, Mwananyamala, Amana na kwingineko) hakuna kiwango cha kutosha kivifaa na wasimamizi.

Hao uliowataja wameshatoa matamko mangapi tangu mgomo uanze? je matamko hayo yamemsaidia nini daktari? Watu hawaishi kwa matamko ati!!!

Mkuu, hiki unachosema ndicho sahihi kabisa, kama ni umoja wao na kutaka hali bora za sector ya afya kwa nini wasikomae na mgomo ilihali wawaache interns ambao hawana hata leseni? Huu ni upuuzi sana. AKINA DR. Chitange wakumbuke kuwa hawa intern wanapata tabu ya maisha kwa sasa, haya matamko yao hayasaidii kitu chochote! Mgomo imeishafail!
 
wewe ndiye mwoga na msaliti namba moja!kwa nini hutaki kuona sekta ya afya nchini ikiboreka?kwa nini usitumie elimu yako kuishauri serikali badala yake unafanya propaganda kurudisha nyuma juhudi za madaktari wenzako?mpango mlioandaa umeshindwa na sasa una backfire!stay tuned!mmelianzisha wenyewe!

Siwezi kuunga mkono jitahada za kurudisha nyuma maendeleo ya nchi na jitihada zinazojenga tabia ya uvivu na kukosekana uwajibikaji. Nchi iliyo nyuma kimaendeleo can not afford recreational migomo kama hii mnayoitisha mkijisikia tu hamu ya likizo. Nimeandika kwa kirefu katika majukwaa mbalimbali kwanini sikuunga mkono mgomo wa madaktari. Nimeandika pia awali sana kuwa hawa interns jambo lao wasiachiwe peke yao, bali lishughulikiwe na uongozi wa madaktari wa ngazi ya kitaifa.

Wanacholalamika hawa interns ni kutelekezwa. Sijaona mahali ulipojibu hoja yao ya kutelekezwa. Mtu yuko mtaani miezi mitani bila kazi, amepanga nyumba, ana wanaomtegemea, hajui hatma yake - wewe mnampa tamko? What will tamko do to his or her life?
 
how many young individuals outhere are jobless?unadhani ni nani wa kuwakomboa kama ninyi wasomi mtaogopa kuishi bila kazi?the strike was and still valid for the sake of mtanzania maskini.

Wewe nae umegoma? Au unashabikia tu? Usijibu kwa mlengo wa kisiasa, kama ni mlengo wa kisiasa soma comment yangu hapo juu nimewaambia kuwa, migomo na matamko hayatamaliza hii kitu, kazi kubwa ni 2015kuiondoa CCM, njia nyingine hizi ni ndefu na ngumu! Mbona kuna njia rahisi hamtaki kukubali?
 
Mkuu, hiki unachosema ndicho sahihi kabisa, kama ni umoja wao na kutaka hali bora za sector ya afya kwa nini wasikomae na mgomo ilihali wawaache interns ambao hawana hata leseni? Huu ni upuuzi sana. AKINA DR. Chitange wakumbuke kuwa hawa intern wanapata tabu ya maisha kwa sasa, haya matamko yao hayasaidii kitu chochote! Mgomo imeishafail!
kwa taarifa yako chitage,godbles na kagoro ni intern doctors.they feel the same pinch as most of the interns do!mkichangia mtafute facts kwanza na sio kukurupuka.
 
ukiacha interns kuna registrars waliopoteza kazi zao,najua unalijua hili lakini ni kiburi chako cha kifisadi na kidini tu.

Kitendo cha wewe kushiindwa kutofautisha registrar na intern kinaonyesha huna akili timamu. Registrar anaweza kufanya kazi mahali popote, ameshapata kibali cha kuwa daktari kamili. Intern hana kibali hata cha kufanya kazi. Registrar aliyefukuzwa kazi leo asubuhi kesho unamkuta kwenye hospitali binafsi kaajiriwa - wenyewe wanaita kiosk. Intern unamkuta kijiweni.

Na hilo la kuingiza udini bila sababu iliyo rasmi inadhihirisha huna malengo mazuri. Udini umeingiaje katika tunachojadiri? Hii yote inaonyesha jinsi wewe na viongozi wenzako wa mgomo mlivyo desperate kuchafua nchi kwa maslahi mnayoyajua nyinyi. Ndio maana unajisahau na kuongea vitu vilivyokujaa kichwani hata pale ambapo sio mahali pake!!!
 
Siwezi kuunga mkono jitahada za kurudisha nyuma maendeleo ya nchi na jitihada zinazojenga tabia ya uvivu na kukosekana uwajibikaji. Nchi iliyo nyuma kimaendeleo can not afford recreational migomo kama hii mnayoitisha mkijisikia tu hamu ya likizo. Nimeandika kwa kirefu katika majukwaa mbalimbali kwanini sikuunga mkono mgomo wa madaktari. Nimeandika pia awali sana kuwa hawa interns jambo lao wasiachiwe peke yao, bali lishughulikiwe na uongozi wa madaktari wa ngazi ya kitaifa.

Wanacholalamika hawa interns ni kutelekezwa. Sijaona mahali ulipojibu hoja yao ya kutelekezwa. Mtu yuko mtaani miezi mitani bila kazi, amepanga nyumba, ana wanaomtegemea, hajui hatma yake - wewe mnampa tamko? What will tamko do to his or her life?

unataka kuniambia huyu intern alichogomea kimetimizwa?ni mara ngapi tumesikia mishahara ya interns imechelewa pengine hata miezi mitatu,waliishi vipi?je tatizo hilo limerekebishwa kiasi kwamba unaomba kurudi kazini?tume ya kushughulikia matatizo ya interns iliishia wapi?mahospitali yetu yama dawa au vipimo?
Kwa ufupi, kilichokuwa kinadaiwa na hawa interns kimetekelezwa?
 
Back
Top Bottom