kwanza kuna suala la simple arithmetic, kununua na kukodisha lipi lilikuwa suluhisho lilo bora kwa taifa? yaani tunataka kuelezwa kwa kiongozi wetu alishindwa kuona hilo? bila kwenda ndani zaidi ya hayo mambo ya kamati ya majadiliano etc etc"Walikubali, na USD 225 milioni zilitumika kukodisha mitambo ya Kampuni za Aggreko, Alstom na Richmond"
Aggreko: 40MW
Alstom: 50MW
Richmond:100mw
$225 million:
Kama walikuwa na hizo pesa kwa nini wasingenunua mitambo yao mipya, kipindi hicho gharama ya 100MW ilikuwa $50 million mpaka kuwashwa. kwa hesabu ya haraka haraka tungepata 450MW inakuwa mali ya serikali siyo kukodisha na tungekuwa nayo kwa miaka 40-50. badala ya kukodisha kwa miaka 3 kwa gharama hiyo hiyo tena 190mw tu.
Kweli JK hawezi kukataa kwa hili kwamba hausiki,
Leo hii mtambo wa 100mw ni $60million, lakini Dr Idrisa wametoa tender kwa gharama ya $120 million kwa mtambo wa 100mw. na hapa watatumia kampuni ambayo haizalishi hii mitambo kama noor oil ya matapeli wa kihindi na waharabu ambayo ni mjomba wake ni Richmond