Makyomwango
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 322
- 79
Great thinkers
wakati ajali ya mlipuko wa mabomu ilipotokea mwenyekit wa CUF prof. Ibrahim Lipumba alitoa tamko kali akilaani uzembe wa watendaji katika jeshi, wizara ya ulizi na akataka waziri wa ulinzi bw. Husein Mwinyi ajiuzuru au awajibishwe. wazalendo tunaopenda uwajibikaji tulimuunga mkono lakini magamba hawakutusikiliza na wakaliona tukio kama la kawaida.
Nimesikitishwa sana na kitendo cha CUF kupitia viongozi wao wa ngazi ya juu kukaa kimya juu ya tukio la ajali ya MV spice iliyopotea na ndugu, jamaa na marafiki wetu wengi. Awali nilidhani walikuwa busy na uchaguzi wa igunga lakini uchaguzi huo umekwisha na hakuna dalili za kutolewa kwa tamko la kulaani uzembe uliopelekea ajali
Je ni kwa sababu waziri anayehusika na mawasiliano visiwani anatokea CUF?
Kama tamko la uzembe halijatolewa kwa sabababu waziri husika ni wa kwao basi CUF ni wanafiki?
wakati ajali ya mlipuko wa mabomu ilipotokea mwenyekit wa CUF prof. Ibrahim Lipumba alitoa tamko kali akilaani uzembe wa watendaji katika jeshi, wizara ya ulizi na akataka waziri wa ulinzi bw. Husein Mwinyi ajiuzuru au awajibishwe. wazalendo tunaopenda uwajibikaji tulimuunga mkono lakini magamba hawakutusikiliza na wakaliona tukio kama la kawaida.
Nimesikitishwa sana na kitendo cha CUF kupitia viongozi wao wa ngazi ya juu kukaa kimya juu ya tukio la ajali ya MV spice iliyopotea na ndugu, jamaa na marafiki wetu wengi. Awali nilidhani walikuwa busy na uchaguzi wa igunga lakini uchaguzi huo umekwisha na hakuna dalili za kutolewa kwa tamko la kulaani uzembe uliopelekea ajali
Je ni kwa sababu waziri anayehusika na mawasiliano visiwani anatokea CUF?
Kama tamko la uzembe halijatolewa kwa sabababu waziri husika ni wa kwao basi CUF ni wanafiki?