Haya,,,,ila mgomo baridi si unaruhusiwa kama wa mhimbili?????
Kufuatia hukumu iliyotolewa hapo jana na mahakama ya kazi ya kuwataka walimu kurejea kazini na kuwaamuru viongozi wa CWT kutangazia Umma kuwa mgomo umekwisha, Chama kimesema kitatoa tamko leo saa 4:00 asubuhi. Tamko hilo litaeleza kama chama kimeridhika na hukumu au wanakata rufaa. Taarifa hiyo haijaweka wazi kama walimu warejee kazini ama laa. Mtoa taarifa amewataka walimu kufuatilia vyombo vya habari saa 4 asubuhi. Nawaomba wadau mtakaopa updates mtuwekee humu. Karibuni.
walimu wa iringa baadhi waligoma kugoma wakidai kwanza waelezwe mapato ya cwt,na pia kuwashtumu viongozi kutaka umaarufu kupitia kwao
mkoba ni mnafiki mno.
Walimu wanatumika kuzima madai ya madaktari
j CWT imeshindwa. Kunahitajika umakini wa hali ya juu kuandaa mgomo wa nchi nzima wa kundi kubwa kama la walimu. Unatoaje notisi ya saa 48 ukijua jumamosi na jmapili siyo siku ya kazi. Madai not realistic.Kufuatia hukumu iliyotolewa hapo jana na mahakama ya kazi ya kuwataka walimu kurejea kazini na kuwaamuru viongozi wa CWT kutangazia Umma kuwa mgomo umekwisha, Chama kimesema kitatoa tamko leo saa 4:00 asubuhi. Tamko hilo litaeleza kama chama kimeridhika na hukumu au wanakata rufaa. Taarifa hiyo haijaweka wazi kama walimu warejee kazini ama laa. Mtoa taarifa amewataka walimu kufuatilia vyombo vya habari saa 4 asubuhi. Nawaomba wadau mtakaopa updates mtuwekee humu. Karibuni.
mkoba ni mnafiki mno.
Walimu wanatumika kuzima madai ya madaktari
Taarifa zilizotangazwa ni kwamba CWT imekubaliana na uamuzi wa mahakama na kwamba wamekubali kusitisha mgomo na kurejea kazini kama kwaida. Taarifa kamili saa 2.00 jioni source. tbc1Kufuatia hukumu iliyotolewa hapo jana na mahakama ya kazi ya kuwataka walimu kurejea kazini na kuwaamuru viongozi wa CWT kutangazia Umma kuwa mgomo umekwisha, Chama kimesema kitatoa tamko leo saa 4:00 asubuhi. Tamko hilo litaeleza kama chama kimeridhika na hukumu au wanakata rufaa. Taarifa hiyo haijaweka wazi kama walimu warejee kazini ama laa. Mtoa taarifa amewataka walimu kufuatilia vyombo vya habari saa 4 asubuhi. Nawaomba wadau mtakaopa updates mtuwekee humu. Karibuni.
wewe ndio mnafiki mkubwa kwa kujitahidi kupandikiza chuki kwa wananchi.cwt inakula pesa za walim kwa kuwakata mishahara yao kila mwezi tena wengine bila ridhaa yao.huo nao ni ufisadi mkubwa.
]Hawana plan B ndio maana wanatumia mahakama [/COLOR]kuficha ukweli huu!