Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Hivi mbona hatumwoni waziri kivuli wa Afya toka CHADEMA akipita kwenye vyombo vya habari kutupatia msimamo wao juu ya mkutano wa PM na madaktari?
Je CHADEMA wanakubaliana na madaktari kumpa Rais ultimatum juu ya suala la maslahi yao?
Je CHADEMA wako upande upi juu ya hili sakata ambalo limechukua sura mpya?
Je CHADEMA wana solutions zipi za muda mrefu na muda mfupi juu ya hili suala?
Je CHADEMA wanakubaliana na madaktari kumpa Rais ultimatum juu ya suala la maslahi yao?
Je CHADEMA wako upande upi juu ya hili sakata ambalo limechukua sura mpya?
Je CHADEMA wana solutions zipi za muda mrefu na muda mfupi juu ya hili suala?