Katibu wa mkoa bw Eddo Makatta.anatoa tamko la chama,kwanza anaanza kwa kusema kuwa kuna maandamo tarehe 16 yatakayoongozwa na mh Freeman Mbowe,kupinga mswada wa katiba,kuhusu Shitambala anasema amepata taarifa kupitia vyombo vya habari,mpaka sasa hajaleta taarifa kwenye chama,anakanusha kuwa yeye hakwenda na shitambala.anasema ni haki yake kikatiba,kuchagua chama anachotaka,mpaka sasa cdm taifa bado walikuwa kwenye uchunguzi,anasema Shitambala amekimbia kabla ya uchunguzi,anamtakia harakati njema za kukipasua chama cha mapinduzi,anasema Cdm haina haja ya kujib wala kugombana naye,na wala cdm haijayumba wala haitayumba,