Tamko la CHADEMA kuhusu Mafuriko lililotolewa na Dr. Slaa leo

Nimesoma Tamko la Chadema hakuna cha maana zaidi ya kukosoa...cha kujiuliza Chadema wamechangia nini kwa waathirika wa mafuriko? Au ni porojo tu? Tuliona kule Japan walichangangia dola 2000..

Hapa nyumbani mmewasaidia nini au ndio ilo Tamko?

Kwan CDM ni chama tawala?...waulize hao walioshikilia nchi!
 
Safi sana Dr. Slaa... ila toeni na chopa ikaokoe wahanga maana serikali hii legelege kutwa kulala... yani waziri mkuu anamsubiri rais aseme...mkuu wa jeshi nae hajiongizi mpaka rais hata kutoa chopa ili iokoe ama kuweka daraja la dharura wanajeshi wamelala,... wazee wa intelejensia ndio kabasa hawana hata vifaaa... kazi kweli kweli... kumbe hii issue ilikuwepo kwenye ilani ya chadema .. sasa magamba kwenye ilani yao kulikuwa na nini? katiba hakuna walikuwa na nini?

...wakifanya hao wataulizwa wamefanya kwa amri ya nani. Unataka masikio yazidi kichwa. Si ulisikia hadi alienda kopokea msaana wa kompyuta moja!
 
Padre na dk wangu Slaa.pole kwa majukum.umepotlea wapi mbona siku ile kwenye kahawa na juice pale umekula kona? pili tamko hili siamini kama ni lako mana hujaeka sahihi yako,naona kama ni magumash tu haya.suala lingine padre,ile HELKOPTA uliyokuwa una chanja nayo mbuga kule IGUNGA IKO WAPI LEO WAKATI WANA DAR WATESEKA NA MAFURIKO?tamko lako HALIENDANI NA UHALISIA, NI KIINI MACHO TU HIKI.nilitegemea helkopta ile ya igunga iongozwe na Mnyika na Halima Mdee chini ya uratibu wako kuokoa maisha ya watu matokeo yake unatuletea SOUND.

Nakuunga mkono hojatete, MKONO MTUPU HAULAMBWI
 
Tamko zuri limetulia tatizo watekelezaji wako busy na sikukuu ya x mass na mwaka mpya.
 
Nimesoma Tamko la Chadema hakuna cha maana zaidi ya kukosoa...cha kujiuliza Chadema wamechangia nini kwa waathirika wa mafuriko? Au ni porojo tu? Tuliona kule Japan walichangangia dola 2000..

Hapa nyumbani mmewasaidia nini au ndio ilo Tamko?

We umepoteza muda wako kuamini tamko la kisanii hilo. Dr Slaa hawezi kuongea upuuzi kuanzia mwanzo hadi mwisho.
 
Mtasema yote lakini mimi sintosahau utendaji wa huyu jamaa alikuwa anakwenda mwenyewe na kutoa maelekezo kwenye tukio si kuhutubia watu kwenye TV.

1.JPG

Kwenye matukio alikwenda lakini akatiwa doa na Richmond............doa amabalo kuliondoa kwake ni kukata kabisa kipande cha nguo na kushona kiraka.
 
dr early warning sysetem inaunganishwa kwenye nchi za sadec na iko hatua nzuri hilo hulijui au ili mradi tamko
 
Padre na dk wangu Slaa.pole kwa majukum.umepotlea wapi mbona siku ile kwenye kahawa na juice pale umekula kona? pili tamko hili siamini kama ni lako mana hujaeka sahihi yako,naona kama ni magumash tu haya.suala lingine padre,ile HELKOPTA uliyokuwa una chanja nayo mbuga kule IGUNGA IKO WAPI LEO WAKATI WANA DAR WATESEKA NA MAFURIKO?tamko lako HALIENDANI NA UHALISIA, NI KIINI MACHO TU HIKI.nilitegemea helkopta ile ya igunga iongozwe na Mnyika na Halima Mdee chini ya uratibu wako kuokoa maisha ya watu matokeo yake unatuletea SOUND.
Haya ni maneno ya mkosaji aliyechoka kufikiri na hawezi kujibu hoja bali vioja....kwani Dr Slaa ndiye anaeiongoza serikali hii? kwa nini
maneno hayo usiwapelekee mawaziri wa ccm na Rais wao? shame on u shit!
 
Dr. Slaa, nimekua navutiwa sana na sera za chama chenu ma uelekeo wa nia ya kulikomboa taifa, lakini ninapata wasiwasi na utayari na uthabiti wa nia yenu, kama walivyotangulia kusema baadhi ya wachangiaji ambao kimtazamo wangu nawaona si wanafiki wa kupongeza tuuu, hotuba za rambirambi na kuikosoa serikali, lakini ingepaswa mara macheche muwe mstari wa mbele hata kuchangia huduma za kuokoa katika majanga kama haya mfano kama walivyo changia wachache kusema, iko wa pi Helkopta ya Igunga? Kwanini msubiri kutoa rambirambi? Kwanini msubiri kukosoa kwa maneno?
 
kutoka pale pfisini kwako manyanya hadi jangwani watu walipopatwa na mafuriko ni kilometa moja.kwanini hujaonekana ukiokoa watu unasubiri kutuhadaa na tamko kwenyevyombo vya habari?
Wewe nafikiri una matatizo ya akili na unachuki binafsi dhidi ya CDM na Dr Slaa....yaani nyie mmekaa madarakani miaka 50 lakini
hadi leo hata helcopita ya uokoaji hamna!. Haya maneno yako yakupasa uwaambie magamba wenzako waliosheherekea miaka 50 ya uhuni hapa juzi....hata aibu uoni?
 
Dr. Slaa, nimekua navutiwa sana na sera za chama chenu ma uelekeo wa nia ya kulikomboa taifa, lakini ninapata wasiwasi na utayari na uthabiti wa nia yenu, kama walivyotangulia kusema baadhi ya wachangiaji ambao kimtazamo wangu nawaona si wanafiki wa kupongeza tuuu, hotuba za rambirambi na kuikosoa serikali, lakini ingepaswa mara macheche muwe mstari wa mbele hata kuchangia huduma za kuokoa katika majanga kama haya mfano kama walivyo changia wachache kusema, iko wa pi Helkopta ya Igunga? Kwanini msubiri kutoa rambirambi? Kwanini msubiri kukosoa kwa maneno?
Kuna watu wana masikio lakini hawasikii. Wewe ni mmoja wapo, bado huelewi ile ni ya kukodi kwa malengo maalum? Hapa JF sio lazima uandike unaweza kusoma tuu na kujifunza toka kwa wengine. Vinginevyo unajidhalilisha kwa kuonyesha jinsi ulivyo.
 
Dr. Slaa, nimekua navutiwa sana na sera za chama chenu ma uelekeo wa nia ya kulikomboa taifa, lakini ninapata wasiwasi na utayari na uthabiti wa nia yenu, kama walivyotangulia kusema baadhi ya wachangiaji ambao kimtazamo wangu nawaona si wanafiki wa kupongeza tuuu, hotuba za rambirambi na kuikosoa serikali, lakini ingepaswa mara macheche muwe mstari wa mbele hata kuchangia huduma za kuokoa katika majanga kama haya mfano kama walivyo changia wachache kusema, iko wa pi Helkopta ya Igunga? Kwanini msubiri kutoa rambirambi? Kwanini msubiri kukosoa kwa maneno?

Itachukua muda gani kukodi hiyo helicopter kutoka Nairobi na kukamilisha vibali vyote vinavyotakiwa kutoka TCAA?

Kwa nini hamuiambii serikali yenu ya magamba kwa kuwa ina uwezo wa kuomba copter za kijeshi kutoka SA na zikaja kufanya shughuli hiyo. Jukumu la kuokoa raia ni jukumu la serikali iliyoko madarakani, na yenyewe haijasema kwamba imeshindwa ili isaidiwe japo hawawezi kusema hata kama hawawezi kwa kuwa ni aibu kwa serikali iliyotumia 70bn kufanya sherehe ze kunywa pombe na maonyesho ya mafanikio ya miaka 50 wakati hata haijajiandaa kukabiliana na majanga. Tatizo serikali hii haijifunzi kutokana na matukio yaliyopita.
 
Shukrani Dr. Slaa kwa kuikumbusha kwa mara nyingine serikali namna ya kuwahudumia wananchi.

Tumewaona vijana wa bavicha wakiongozwa na mwenyekiti wao wakijitolea kwa hali na mali kuwasaidia watanzania wenzetu.

Endeleeni na moyo huo huo, Mungu atawalipa kazi ya mikono yenu. Usichoke kumkumbusha kikwete mara kwa mara, kwakuwa raisi wetu ana ahadi nyingi sana kwa wananchi kabatini,hadi anashindwa aanzie wapi.
 
Dr. Slaa ametoa mwongozo, haya sasa nyie waserikali mkiongozwa na kilaza J..K.. muanze kutekeleza rasmi hizo order, japo mmchelewa zaidi ya masaa 48!!
 
Tuache unafiki, mbona sikuona hata helkopta moja zilizokuwa igunga. Uzalendo upo wapi hapa? Vyama vya siasa vyote akili zao zipo sawa ni za kinafiki zaidi.
 
Nimesoma Tamko la Chadema hakuna cha maana zaidi ya kukosoa...cha kujiuliza Chadema wamechangia nini kwa waathirika wa mafuriko? Au ni porojo tu? Tuliona kule Japan walichangangia dola 2000..

Hapa nyumbani mmewasaidia nini au ndio ilo Tamko?

Tatizo lenu CCM mnawaza pesa tu. Sasa nyinyi pamoja na kukusanya pesa za kodi mpaka sasa hamjatoa. Ndiyo hapo CDM wanapowazidi maarifa. CDM wanatoka kwa moyo na uwezo wao siyo nyinyi mnaotoa ili kujionyesha.

Sasa mnafanya makosa na mmechificha huko uzunguni na uhindini mnaogopa matope eti mnasubiri maji yakauke halafu hamtaki kukosolewa. Walaka unasema hayo mambo yalikuwa kwenye ilani ya CDM, sasa CCM kuchukua mazuri ya CDM na kuyafanyia kazi wanaona ni issue. Mkikosolewa issue??? Kazi isha washinda. Period!!!
 
Ni tamko zuri sana la kuwakumbusha na kuwapa mbinu walioko madarakani!
Fedha za kutekeleza mapendekezo hayo ya CDM zipo kabisa!...shida ni misappropriation tu!

Umesema vyema lakini akili za chama tawala watabeza tamko hili kama halina maana kabisa.

Hongera CDM kwa kuwa mstari wa mbele kutoa tamko lenu la kuwapa pole wahanga wote.
 
Back
Top Bottom