Nilitegemea CHADEMA aka M4C wangetoa tamko juu ya hali ya muungano na namna ya kwenda mbele.
Naomba waziri kivuli husika wa CHADEMA atutolee tamko ili tujue wamesimama wapi kwenye huu mradi wa Magamaba ambao wananchi wa bara na visiwani hawautaki
kazi kwenu M4C
Naomba waziri kivuli husika wa CHADEMA atutolee tamko ili tujue wamesimama wapi kwenye huu mradi wa Magamaba ambao wananchi wa bara na visiwani hawautaki
kazi kwenu M4C