Danganya ambao hawajui, project planner wa kutegemewa labda unaongelea nje kama Burundi au kenya, uende UK nani akupe u project planner, tunawajua wengi waliomaliza masters zao ni wabeba mabox tu wanahangalika, sanasana utakuwa dereva wa kusambaza barua au kutawaza vizee au uolewe na mzungu, wazungu wenyewe ni wengi waliosoma lakini kazi hakuna wanategemea jobseekers allowance wewe akujue nani.v
vuvuzela, umetoa meseji nzuri ila umekosea ku generalize sio wote ambao hatuishi tanzania tunaipenda ccm na madudu yake, na sio wote ni watoto wa vigogo wa ccm na mbaya zaidi sio wote ni wa beba boks. Usiongee bila kua na ushahidi wa kutosha. Huku nilipo kila mtz ni very professional na ana kazi nzuri some of them ni madaktari, ma injiania na project planners wanaotegemewa. Karibu uje utembee then next time uta andika vizuri. Sina la zaidi ila punguza jazba ndugu yangu nchi haitajengwa kwa jazba na kukurupuka, kumbuka adui yako amejiandaa muda mrefu na amerithi utajiri tokea tanu na mpaka kwenye dili kubwa za kifisadi angalia usiishie kupiga kelele hum jamvini bila kutekeleza kwa vitendo mnayoyalalamikia. Me voy, hasta la vista.