VUVUZELA
JF-Expert Member
- Jun 19, 2010
- 3,103
- 785
Wenyeviti, wanachama, wapiga debe na wawakilishi wa matawi ya CCM kule UK, Russia, na kule USA mmekuwa na kelele sana wakati wa uchaguzi na hasa baada ya Mkwere kushinda tena. Fine.
Mmmeitisha mikutano ya kumpongeza Mkwere na ushindi aloupata baada ya November na mmekuwa mkiitisha mikutano ya kujadili muelekeo na vision ya CCM in the future. Fine.
Sasa vipi mbona mmekuwa mabubu wakuu katika suala hili la Dowans?
Mmekuwa mabubu kuhusu katiba mpya.
Ningefarijika sana kama mngeitisha vikao vya ku-discuss energy crisis in Tanzania, Dowans Saga, and the Referendum for the New Constitution kisha muwaeleze akina Makamba, Ngeleja na Werema kuhusu maoni yenu...lakini mmekuwa mabubu and that says a lot.
That tells me you are just a bunch of losers.
Yes, LOSERS with your fu-cking CCM.
Endeleeni na kubeba maboksi lakini mjue boksi halina ujanja na mtarudi tena bongo na ku-face reality ya umeme, maji na siasa uchwara.
Na hata mkipewa huo ukuu wa wilaya kwa upiga debe wenu mjue kabisa hakuna umeme huko wilayani.
Ukimya wenu ni vijisenti vya Dowans mlivyogaiwa ndio vinawafungisha midomo.
CCM=DOWANS
Nawatakia schedule njema na boksi jema!!
Mmmeitisha mikutano ya kumpongeza Mkwere na ushindi aloupata baada ya November na mmekuwa mkiitisha mikutano ya kujadili muelekeo na vision ya CCM in the future. Fine.
Sasa vipi mbona mmekuwa mabubu wakuu katika suala hili la Dowans?
Mmekuwa mabubu kuhusu katiba mpya.
Ningefarijika sana kama mngeitisha vikao vya ku-discuss energy crisis in Tanzania, Dowans Saga, and the Referendum for the New Constitution kisha muwaeleze akina Makamba, Ngeleja na Werema kuhusu maoni yenu...lakini mmekuwa mabubu and that says a lot.
That tells me you are just a bunch of losers.
Yes, LOSERS with your fu-cking CCM.
Endeleeni na kubeba maboksi lakini mjue boksi halina ujanja na mtarudi tena bongo na ku-face reality ya umeme, maji na siasa uchwara.
Na hata mkipewa huo ukuu wa wilaya kwa upiga debe wenu mjue kabisa hakuna umeme huko wilayani.
Ukimya wenu ni vijisenti vya Dowans mlivyogaiwa ndio vinawafungisha midomo.
CCM=DOWANS
Nawatakia schedule njema na boksi jema!!