Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,615
Heche ahame kwanza kwa kaka yake ajifunze kujitegemea ndipo aje na matamko kama haya
Is it kuendelea kuwa na matamko yasiyo na tija.Utawala wa Kibenki si sawa na Saccos ambayo haina direct touch na CBT.Nadhani katika tamko lake alipaswa atueleze ni wapi na katika nchi gani Benki ya Vijana ipo na imesaidia nini vijana hao katika suala la Ajira na Uchumi?.Tusianze kuleta mkumbo kwa thinkable things, ili kuonekana kila siku ikipita basi ipite kwa "TAMKO".
Better for Heche to undergo research and come up with vivid success for those Youth Banks established in the World if not African Continent as a case study to convince.Hivi vitu si kuanzisha tu,tunahitaji kuzingatia wataalam wenyewe na sio kauli za kisiasa on the table all the time.
Vile vile anapaswa kutambua madhumuni ya riba (kubwa ama ndogo) ni kuhakikisha Bank haipati/inapunguza hasara in case some borrowers wakishindwa kulipa mbali na kuwa sehemu ya faida yao.Hiyo benki ya Riba ndogo anatarajia itakuwa productive for the survival of that bank whatever you can call it?
Labda assumption iwe kwamba -Hakuna Risk,Uchumi unakuwa sambamba na kipato cha vijana hao,vijana wote watalipa mikopo yao na kwa wakati.Otherwise ni ''siasa'' tu za CCM na CDM wanaigiza kama CCM.
toa ushuzi wako, unatumia nini kufikiri? hayo mambo yanakuzidi upeo mbali sana wewe nenda kalaleheche sijui huwa anasaidiwa na nani kuandaa matamko yake maana sioni kitu chenye mashiko jamani mm nashindwa kuamini kama jamaa ni graduate kabisa, mwone asivyo na upeo katika kupangilia hoja yaani mm nahisi kichefuchefu tu eti ndiye kiongozi wa vijana hahaa wapi hao, likisimama kwenye mikutano ni kutaka eti watu waandamane tu
<br />Nimekubali hoja zako kadhaa kama ulivyoziainisha ila hapo kwenye kumtaka maelezo binafsi Speaker ndio sijakuelewa, nadhani inaweza kupunguza uzito wa mtazamo wako.<br />
Je! kwa hoja hiyo ya BAVICHA, na kwa mujibu wako kwamba unataka uonyeshwe nchi ambayo kuna benki ya namna hiyo (maana yake huijui hiyo nchi kama ipo) sawa tufanye kweli hamna hiyo nchi duniani.....<br />
Sasa mkuu hapo bado hujaona hicho unachokiita "innovative thing"???<br />
Kwamba ndio wazo la kwanza litakalo anzia Tanzania kama vijiji vya ujamaa ambavyo saiv vinaitwa "vijiji vya milenia"<br />
HESHIMA Mzazi!!
maandamano yana wakera sana tumesha sema chadema hatufanyi maandamano tunafanya mazoezi maandamano yaanzia arusha to magogoni, mwanza to magogoni,mbeya to magogo..ukitaka ratiba kamili ni pmHenge hana kazi anachojua ni maandamano
<br />Rafiki siyo kil
a kitu tuangalie wengine wameandaje,yapo maswala yanahitaji ubunifu na mikakati.<br />
Nimechoka na watu wasio na maono.yot
e yawezekana kwa imani hivi unawez
a kuwaza hata mikopo ya elimu ya juu
inaweza kuwa ni
source toka kwenye hii bank rather that what is going now?<br />
Wazo hili ni zuri kama litasimamiwa kitaifa but not today under CCM leadership.wengine tunaisoma bank ya wanawake kwenye mabango tu.
Is it kuendelea kuwa na matamko yasiyo na tija.Utawala wa Kibenki si sawa na Saccos ambayo haina direct touch na CBT.Nadhani katika tamko lake alipaswa atueleze ni wapi na katika nchi gani Benki ya Vijana ipo na imesaidia nini vijana hao katika suala la Ajira na Uchumi?.Tusianze kuleta mkumbo kwa thinkable things, ili kuonekana kila siku ikipita basi ipite kwa "TAMKO".
Better for Heche to undergo research and come up with vivid success for those Youth Banks established in the World if not African Continent as a case study to convince.Hivi vitu si kuanzisha tu,tunahitaji kuzingatia wataalam wenyewe na sio kauli za kisiasa on the table all the time.
Vile vile anapaswa kutambua madhumuni ya riba (kubwa ama ndogo) ni kuhakikisha Bank haipati/inapunguza hasara in case some borrowers wakishindwa kulipa mbali na kuwa sehemu ya faida yao.Hiyo benki ya Riba ndogo anatarajia itakuwa productive for the survival of that bank whatever you can call it?
Labda assumption iwe kwamba -Hakuna Risk,Uchumi unakuwa sambamba na kipato cha vijana hao,vijana wote watalipa mikopo yao na kwa wakati.Otherwise ni ''siasa'' tu za CCM na CDM wanaigiza kama CCM.
Is it kuendelea kuwa na matamko yasiyo na tija.Utawala wa Kibenki si sawa na Saccos ambayo haina direct touch na CBT.Nadhani katika tamko lake alipaswa atueleze ni wapi na katika nchi gani Benki ya Vijana ipo na imesaidia nini vijana hao katika suala la Ajira na Uchumi?.Tusianze kuleta mkumbo kwa thinkable things, ili kuonekana kila siku ikipita basi ipite kwa "TAMKO".
Better for Heche to undergo research and come up with vivid success for those Youth Banks established in the World if not African Continent as a case study to convince.Hivi vitu si kuanzisha tu,tunahitaji kuzingatia wataalam wenyewe na sio kauli za kisiasa on the table all the time.
Vile vile anapaswa kutambua madhumuni ya riba (kubwa ama ndogo) ni kuhakikisha Bank haipati/inapunguza hasara in case some borrowers wakishindwa kulipa mbali na kuwa sehemu ya faida yao.Hiyo benki ya Riba ndogo anatarajia itakuwa productive for the survival of that bank whatever you can call it?
Labda assumption iwe kwamba -Hakuna Risk,Uchumi unakuwa sambamba na kipato cha vijana hao,vijana wote watalipa mikopo yao na kwa wakati.Otherwise ni ''siasa'' tu za CCM na CDM wanaigiza kama CCM.
<br /><i><b>"...................Nadhani katika tamko lake alipaswa atueleze ni wapi na katika nchi gani Benki ya Vijana ipo na imesaidia nini vijana hao katika suala la Ajira na Uchumi?........."<br />
<
br />
</b></i>Naomba nikwambie uko <i><b><u>MPUBA.VU </u></b></i>na akili za kutazamia kwa wengine eti ndo na wewe ufanye jambo, huwezi kuwa creative wa kitu ambacho mwingine hajafanya? Very poor thinking!! Haujui benki ina faida gani? au kwa sababu ya jina kwamba ikiitwa benki ya vijana ndo itakuwa haina faida tena? Umenisbabisha nisome mistari miwili tu ya post yako maana sikuona hata cha maana zaidi
<br />Heche ahame kwanza kwa kaka yake ajifunze kujitegemea ndipo aje na matamko kama haya
<br />heche ni kitoto kichanga cha siasa. kiachie kipige kelele akipewa ziwa tu atalala