TAMKO LA BAVICHA-Siku ya vijana duniani. Heche ailipua UVCCM

ngurati

JF-Expert Member
Feb 14, 2011
221
240
[FONT=Century Gothic, serif]BARAZALA VIJANA LA CHADEMA (BAVICHA) [/FONT]
[FONT=Century Gothic, serif]TAARIFAKWA VYOMBO VYA HABARI[/FONT]
“[FONT=Century Gothic, serif]Sikuya Kimataifa ya Vijana”[/FONT]
[FONT=Century Gothic, serif]12/08/2011[/FONT]


[FONT=Century Gothic, serif]NduguWanahabari, [/FONT]
[FONT=Century Gothic, serif]Leotarehe 12/08/2011, ni Siku ya Kimataifa ya Vijana. Siku hiihuadhimishwa duniani kote kila mwaka, kila ifikapo tarehe 12 mweziAgosti, ambapo vijana wenyewe na wadau wengine hufanya tathmini yahalisi ilivyo na kupendekeza njia mbadala za kukabiliana na vikwazovilivyopo na kuchochea maendeleo ya vijana.[/FONT]
[FONT=Century Gothic, serif]Katikakuadhimisha siku hii, Baraza la Vijana la CHADEMA (BAVICHA),tunachukua fursa hii kuibua na kusisitiza mambo makuu mawili yenyeumuhimu mkubwa katika kuchochea maendeleo ya Vijana wa Taifa hili,kama ifuatavyo;[/FONT]
[FONT=Century Gothic, serif]Hojaya Benki ya Taifa ya Vijana[/FONT]
[FONT=Century Gothic, serif]Vijanawa Tanzania wanahitaji fursa ili waweze kujiendeleza. Wanahitajifursa ya Ajira na Elimu, ili waweze kupiga hatua kubwa katikaharakati zao za kujiendeleza, lakini kikwazo kikubwa kimekuwa nifedha.[/FONT][FONT=Century Gothic, serif][/FONT]
[FONT=Century Gothic, serif]Mojaya fursa kubwa za uwezeshaji ambazo CHADEMA imefikiria na kuona kuwaitachochea sana vijana wa nchi hii kujiajiri, na kuwawezeshawasiokuwa na elimu ya kutosha, waweze kuipata, ni kuanzishwa kwa[/FONT][FONT=Century Gothic, serif]Benkiya Taifa ya Vijana[/FONT][FONT=Century Gothic, serif]yenye nguvu kubwa kimtaji, na yenye masharti nafuu katika kuhudumiawateja wake (vijana).[/FONT]
[FONT=Century Gothic, serif]BAVICHAtunaamini kuwa, kupitia Benki ya Taifa ya Vijana, Vijana waKitanzania bila kujali tofauti zao za kiitikadi na kivyamawatawezeshwa kifedha kupitia mikopo kwa ajili ya kujiajiri kwenyeshughuli mbalimbali za uzalishaji kipato (ujasiriamali) na hatakujisomesha kwa kugharamia wenyewe gharama za masomo yao. [/FONT]
[FONT=Century Gothic, serif]Kwaniaba ya uongozi mzima wa BAVICHA Taifa, nachukua fursa hiikumpongeza Mbunge wetu Kijana na Waziri Kivuli wa Habari, Utamaduni,Michezo na Vijana, Mhe. Joseph Mbilinyi maarufu SUGU, kwa kuwasilishavema Bungeni, hoja hii ya kutaka kuanzishwe [/FONT][FONT=Century Gothic, serif]Benkiya Taifa ya Vijana, [/FONT][FONT=Century Gothic, serif]kupitiahotuba ya Kambi rasmi ya Upinzani kuhusu Wizara hiyo na mchango wakealioutoa wakati akichangia bajeti ya wizara hiyo leo asubuhi.[/FONT]
[FONT=Century Gothic, serif]Hatahivyo, wakati CHADEMA tukiitaka Serikali kuitikia wito wa kuanzishaBenki hiyo kwa manufaa ya Vijana wote bila kujali vyama vyao, baadhiya viongozi na wabunge wa CCM wameanza kuishawishi Serikaliisianzishe benki hiyo ya taifa ya Vijana, kwa sababu wao wanaanzishaBenki yao ya Kichama ya Vijana.[/FONT]
[FONT=Century Gothic, serif]Tunataarifa na ushahidi wa kutosha kuwa Serikali inataka kukataakuanzisha Benki ya Taifa ya Vijana wote, [/FONT][FONT=Century Gothic, serif]kwasababu inataka itumie fedha za umma na mikono yake kwenye benkibinafsi, ili kuanzisha [/FONT][FONT=Century Gothic, serif]Benkiya Vijana wa CCM kwa malengo ya kisiasa[/FONT][FONT=Century Gothic, serif].BAVICHA tunaitaka Serikali isijaribu kamwe kufanya mchezo huo mchafuwa kutumia fedha za walipakodi wa nchi hii kuanzisha benki yao yakichama. Tunaitaka Serikali ianze mara moja mchakato wa kuanzishaBenki ya Taifa ya Vijana kwa maslahi ya Vijana wote wa Kitanzania. [/FONT]
[FONT=Century Gothic, serif]Aidha,tunawakumbusha Vijana na umma mzima wa Watanzania, kuwa CCM kamachama haina uhalali wa kuanzisha benki ya vijana, kwani chama hichotayari kina historia mbaya sana ya ufisadi, kama ya kuua Shirika laUchumi na Kilimo la Taifa (SUKITA) ambalo lilianzishwa na fedha zaWatanzania wote wakati wa mfumo wa chama kimoja, lakini baada yamfumo wa vyama vingi kuanza, CCM ililipora shirika hilo na viongoziwakatafuna mali zote za Shirika na kulifilisi. [/FONT]
[FONT=Century Gothic, serif]CCMiliua Mradi wa Mabasi ya Wanafunzi Mkoa wa DSM uliokuwa ukiendeshwana UVCCM, ambao Watanzania wote waliuchangia fedha, lakini kwaufisadi wao wakaufilisi na matokeo yake mpaka leo Wanafunzi wa Dar esSalaam wanataabika kwa huduma mbaya za usafiri.[/FONT]
[FONT=Century Gothic, serif]CCMpia imeshindwa kuviendesha kwa ufanisi Viwanja vya Michezowalivyopora nchi nzima baada ya mfumo wa vyama vingi kuanza nabadala yake viwanja hivyo vimekuwa vikididimia, ukiwemo uwanja wa Sheikh Amri Abeid wa Arusha, Majimaji Songea, Jamhuri Morogoro, CCMKirumba Mwanza, Jamhuri Dodoma, na vingine vingi. Na tunataka malizote za Vijana wa Kitanzania zilizoporwa na CCM wakati wa mfumo wachama kimoja zirejeshwe, zitumike kwa manufaa ya vijana wote waKitanzania.[/FONT][FONT=Century Gothic, serif][/FONT]
[FONT=Century Gothic, serif]Kwahiyo, [/FONT][FONT=Century Gothic, serif]tunawatakaVijana wa Kitanzania bila kujali itikadi zao za kisiasa, tuungane kwapamoja katika kuhakikisha Serikali inaanza mara moja mchakato[/FONT][FONT=Century Gothic, serif][/FONT][FONT=Century Gothic, serif]wakuanzisha Benki ya Taifa ya Vijana, kwani Benki hiyo ya kichama ni yakibaguzi, kifisadi (ushahidi upo) na haitaweza kudumu wala kuwakomboakwa haki Vijana wote wa Kitanzania.[/FONT]
  1. [FONT=Century Gothic, serif]Mkataba wa Afrika wa Vijana (African Youth Charter 2006) upelekwe bungeni.[/FONT]
[FONT=Century Gothic, serif]BAVICHAtunaitaka Serikali iwasilishe Bungeni Mkataba wa Vijana Afrika kuhusuMaendeleo ya Vijana uliopitishwa mwaka 2006 Mjini Banjui Gambia nakutiwa saini na Rais Kikwete mwaka 2007. Tunataka muswada huoupelekwe Bungeni, uweze kujadiliwa na kupitishwa kuwa Sheria iliuweze kufanyiwa utekelezaji kwa maendeleo ya Vijana.[/FONT]
[FONT=Century Gothic, serif]Nivema ikazingatiwa kuwa hata Sera ya Serikali ya Maendeleo ya VijanaToleo la Mwaka 2007, inayotumika hivi sasa, bado haijatungiwa sheriaya kuifanyia utekelezaji. Kwa hiyo, BAVICHA, tunataka Mkataba waVijana Afrika uwasilishwe Bungeni na kupitishwa kuwa Sheria, kwanisheria hiyo pana ndiyo itakayowezesha Sera yenyewe ya Maendeleo yaVijana kuweza kutekelezeka.[/FONT]
[FONT=Century Gothic, serif]NawatakiaVijana wote wa Kitanzania maadhimisho mema ya Siku ya Kimataifa yaVijana, huku nikiwataka kuwa tayari muda wote kuunga mkono nakushiriki moja kwa moja harakati za kushinikiza haki na maendeleo yavijana.[/FONT]
[FONT=Century Gothic, serif]Vijana;Nguvu ya Mabadiliko[/FONT]
[FONT=Century Gothic, serif]Ahsantenikwa kunisikiliza.[/FONT]




[FONT=Century Gothic, serif]JohnHeche[/FONT]
[FONT=Century Gothic, serif]Mwenyekitiwa BAVICHA –Taifa[/FONT]
 
Benki ya vijana wa ccm!!!!!!!!!
walivyo mafisadi watoto sijui itakuwaje yangu macho
 
Safi sana,yani hawa UVCCM wakipewa huu mradi cjui wataufisadi vbaya mno
 
Is it kuendelea kuwa na matamko yasiyo na tija.Utawala wa Kibenki si sawa na Saccos ambayo haina direct touch na CBT.Nadhani katika tamko lake alipaswa atueleze ni wapi na katika nchi gani Benki ya Vijana ipo na imesaidia nini vijana hao katika suala la Ajira na Uchumi?.Tusianze kuleta mkumbo kwa thinkable things, ili kuonekana kila siku ikipita basi ipite kwa "TAMKO".

Better for Heche to undergo research and come up with vivid success for those Youth Banks established in the World if not African Continent as a case study to convince.Hivi vitu si kuanzisha tu,tunahitaji kuzingatia wataalam wenyewe na sio kauli za kisiasa on the table all the time.

Vile vile anapaswa kutambua madhumuni ya riba (kubwa ama ndogo) ni kuhakikisha Bank haipati/inapunguza hasara in case some borrowers wakishindwa kulipa mbali na kuwa sehemu ya faida yao.Hiyo benki ya Riba ndogo anatarajia itakuwa productive for the survival of that bank whatever you can call it?

Labda assumption iwe kwamba -Hakuna Risk,Uchumi unakuwa sambamba na kipato cha vijana hao,vijana wote watalipa mikopo yao na kwa wakati.Otherwise ni ''siasa'' tu za CCM na CDM wanaigiza kama CCM.
 
Mpango wenyewe wa UVCCM huu hapa. Alafu wanaiita bank ya vijana ya taifa ilihali ni ya UVCCM. lengo lao n kuzuia uanzishwaji wa benki ya vijana ya taifa itakayotoa fursa kwa vijana wote bila kujali itikadi za vyama vyao.


TANZANIAYOUTH BANK
TENTATIVEBUDGET – 01st AUGUST - 31st OCTOBER 2011
OFFICEEQUIPMENTS
  1. Laptop 2
  2. Printer 1
  3. Photocopy machine 1
  4. Overhead Projector 1
  5. Car 1
  6. Camera 1
  7. Cellphone handset 2
  8. Stationeries 4 reams, binding machine 1, pen 10,
WORKPLAN 1
Activity-I: Sales of Shares from 09th August – 09th October 2011


Target: Our Salestarget are CCM members and Youth in general = 5,000,000 people
Estimate Collection:5,000,000 people @ Tsh.3,000/= =15,000,000,000/=
No
DESCRIPTION


COST Tsh.








1.
Payment for Sales Agent


10,000,000.00








2.
Office Management


3,000,000.00










TOTAL


13,000,000.00


WORKPLAN 1
Activity- II: Sales of Shares on 13th August 2011


Target: Our Salestarget are CCM Palriament Members = 240
Estimate Collection:240 people @ Tsh.1,000,000/= =240, 000,000/=
No
DESCRIPTION


COST Tsh.








1.
5 TYB Officers for official visit Dodoma


2,000,000.00








2.
Office Management


500,000.00










TOTAL


2,500,000.00






WORKPLAN 1
ActivityIII: Fundraising Dinner on 14th October – NYERERE DAY


Guest of Honour: DrJakaya Mrisho Kikwete – The President of Tanzania
Target:Ambassordors, Big Companies, Business people etc.
Estimate Collection:100,000,000,000/=
No
DESCRIPTION


COST Tsh.








1.
Payment for Fundraising Agent


5,000,000.00








2.
Office Management


3,000,000.00










TOTAL


8,000,000.00


WORKPLAN 1
ActivityIV: TYB Marketing and Establishment of TYB SACCOS

Target areas: i. Establishment of TYB SACCOS in each District of Tanzania.
ii. Establishmentof TYB SACCOS in each University/High Inst.
iii. MediaPresentations and Advertisement

No
DESCRIPTION


COST Tsh.








1.
Printing and Binding of TYB SACCOS constitutions for 150 districts




2,000,000.00








2.
Distributions of constitutions through UVCCM (w) Offices




1,000,000.00








3.
Printing of Brounchures, Banners, Posters


2,000,000.00








4.
Media Advertiments


2,000,000.00








5.
Office Management


1,000,000.00










TOTAL


8,000,000.00

BUDGETAND INCOME SUMMARY
ACTIVITY
BUDGET – EXPENSES
PROJECTED INCOME
Activity I
13,000,000.00
15,000,000,000.00
Activity II
2,500,000.00
240,000,000.00
Activity III
8,000,000.00
100,000,000.00
Activity IV
8,000,000.00
-
GRAND TOTAL
31,500,000.00
15,340,000,000.00
 
PLC












[FONT=Arial Black, sans-serif]WorkPlan 1 – TYB CAPITALIZATION[/FONT]


  1. [FONT=Book Antiqua, serif]Sales of TYB Shares 9[/FONT][SUP][FONT=Book Antiqua, serif]th[/FONT][/SUP][FONT=Book Antiqua, serif] August – 9[/FONT][SUP][FONT=Book Antiqua, serif]th[/FONT][/SUP][FONT=Book Antiqua, serif] October 2011[/FONT]
  2. [FONT=Book Antiqua, serif]Fundraising Dinner Event 14[/FONT][SUP][FONT=Book Antiqua, serif]th[/FONT][/SUP][FONT=Book Antiqua, serif] October 2011[/FONT]





TANZANIA YOUTH BANK –WORK PLAN


[FONT=Book Antiqua, serif]TheTYB fundraising/launching event is geared towards action steps thatshould advance the following goals and objectives:[/FONT]


[FONT=Book Antiqua, serif]Goal#1:[/FONT]
[FONT=Book Antiqua, serif]Raisecapital for TYB.[/FONT]
[FONT=Book Antiqua, serif]Objectives:[/FONT]
  1. [FONT=Book Antiqua, serif]Promote the sales of TYB - PLC shares.[/FONT]
  2. [FONT=Book Antiqua, serif]Raise funds during the event.[/FONT]
  3. [FONT=Book Antiqua, serif]Seek donations from well-wishers.[/FONT]
[FONT=Book Antiqua, serif]Activities:[/FONT]
  1. [FONT=Book Antiqua, serif]Sales of TYB – PLC shares - UVCCM Leaders, CCM Members all over the country[/FONT]
  2. [FONT=Book Antiqua, serif]Conducting Fundraising Dinner – The CCM National Chairman to be Guest of Honor[/FONT]
  3. [FONT=Book Antiqua, serif]Request Funds from Donors CCM Sister Parties eg. DRC, South Africa, [/FONT]



Goal #2:
Market TYB as aninnovative institution in order to attract potential stakeholders.


Objectives:
  1. Raise awareness among the youth regarding the need for TYB services.
  2. Educate the public about the need for TYB.
  3. Target potential donors and investors with specific marketing message.



Action Steps
Party Responsible
Timeline
Work planning period: 01[SUP]st[/SUP] AUGUST – 31[SUP]st[/SUP] DECEMBER 2011
Goal #1: Raise capital for TYB
Objective#1: Promote the sales of TYB shares. 9[SUP]th[/SUP] August – 9[SUP]th[/SUP] October 2011
Produce brochures and other information materials explaining how to obtain shares from TYB.
TYB,
3th August
Conduct media publicity on selling of shares
TYB,
4[SUP]th[/SUP] August
Designate a staff to be in charge of selling shares
TYB
5[SUP]th[/SUP] August
Identify Agent Company to sell shares in all CCM/UVCCM branches in the country
TYB
6[SUP]th[/SUP] August
Objective#2: Raise funds during the event – NYERERE DAY- 14[SUP]th[/SUP] October 2011
Organize a "meet and greet" dinner event featuring the "who is who" members of the community.
TYB
14[SUP]th[/SUP] October
Compile a database of the "who is who" (e.g. among embassies, MPs, business corporations, etc.)
TYB
24[SUP]th [/SUP]Sept.
Design invitation letters/cards
TYB
24[SUP]th [/SUP]Sept.
Determine event venue (possibly a hotel)
TYB
24[SUP]th [/SUP]Sept.
Disperse invitation cards
TYB
25[SUP]th [/SUP]Sept.
Determine rates for event tickets
TYB
24[SUP]th [/SUP]Sept.
Designate staff for logistical planning
TYB
24[SUP]th [/SUP]Sept.
Organize a general fundraising drive
TYB
10[SUP]th [/SUP]October
Determine venue for the event (National Stadium)
TYB
24[SUP]th [/SUP]Sept.
Determine different activities at the event to suit all ages (e.g. exhibition, vending, performances, children's games etc.)
TYB, …
30[SUP]th [/SUP]Sept.
Sell booth/stall space for exhibitions and vendors
TYB
30[SUP]th [/SUP]Sept.
Determine rates for event tickets
TYB
24[SUP]th [/SUP]Sept.
Determine when and where to sell tickets
TYB
24[SUP]th [/SUP]Sept.
Designate staff to be in charge of selling tickets
TYB, …
24[SUP]th [/SUP]Sept.
Identify staff/volunteers to sell tickets at the fundraising event.
TYB, …


Collaborate with the Red Cross and other volunteer NGOs to provide emergency first Aid
TYB
10[SUP]th [/SUP]October
Collaborate with police to provide security at the event
TYB
10[SUP]th [/SUP]October
Draw a comprehensive program for both events
TYB, …
30[SUP]th [/SUP]Sept.
Advertise both events
TYB
30[SUP]th [/SUP]Sept.
Objective#3: Seek donations from well-wishers
Identify potential donors
TYB
30[SUP]th [/SUP]Sept.
Develop a database of potential donors (among stakeholders, corporations, members of parliament, NGOs, etc.)
TYB
30[SUP]th [/SUP]Sept.
Determine the best approach to seek donations from donors e.g. face-to-face, by mail, third parties, etc.
TYB
30[SUP]th [/SUP]Sept.
Designate staff to be in charge of donations
TYB
30[SUP]th [/SUP]Sept.
Goal #2: Market TYB as an innovative institution in order to attract potential stakeholders.
Objective#1: Raise awareness among the youth regarding the need for TYB services.
Produce brochures and other information materials explaining TYB services.
TYB
30[SUP]th [/SUP]Sept.
Conduct media publicity/community awareness program enlightening the youth to build the culture of share purchase, savings, borrowing, and prompt repayment of loans.
TYB
Ongoing
Identify youth artist to perform and educate the youth on TYB services at the fundraising event.
TYB, …
Already done
Identify other youth activists/artists to act as curtain raisers at the event.
TYB, …
30[SUP]th [/SUP]Sept.
Coordinate with regional commissioners to identify youth groups to participate at the fundraising event.
TYB, …
24[SUP]th [/SUP]Sept.
Designate a staff to be in charge of the youth outreach program.
TYB
30[SUP]th [/SUP]Sept.
Objective#2: Educate the public about the need for TYB.
Produce brochures and other information materials explaining TYB services to the entire public.
TYB
30[SUP]th [/SUP]Sept.
Conduct mass media publicity campaign to market TYB to the masses (Flyers, posters, TV, radio, newspapers, taxis etc.).
TYB
Ongoing
Designate a staff to be in charge of TYB mass campaign
TYB
24[SUP]th [/SUP]Sept.
Objective#3: Target potential donors and investors with specific marketing message.
Use the developed database of potential donors to determine appropriate marketing message
TYB
30[SUP]th [/SUP]Sept.
Design marketing message for the different targeted donors.
TYB
30[SUP]th [/SUP]Sept.
Designate staff to be in charge of donor marketing.
TYB
30[SUP]th [/SUP]Sept.
General project requirements
Conduct regular meetings with key staff
Entire team
Ongoing
Continue to involve partners/volunteers in implementation decisions
Entire team
Ongoing
Evaluate missed opportunities/ideas for project success
Entire team
Ongoing
Continue revising project plans and event programs
TYB
Ongoing
Devote additional staff as needed during the fundraising drive
TYB
10[SUP]th [/SUP]October
Plan evaluation of the event
TYB
20[SUP]th[/SUP] October
Evaluate event
TYB
Ongoing
Submit progress report
TYB
25[SUP]th[/SUP] October
Evaluate report
TYB
28[SUP]th[/SUP] October
Submit final report
TYB
30[SUP]th [/SUP]October
 
Taingia Heche achagulie ili ni Tamko la kumi lisilo kuwa na tija yoyote
 
Is it kuendelea kuwa na matamko yasiyo na tija.Utawala wa Kibenki si sawa na Saccos ambayo haina direct touch na CBT.Nadhani katika tamko lake alipaswa atueleze ni wapi na katika nchi gani Benki ya Vijana ipo na imesaidia nini vijana hao katika suala la Ajira na Uchumi?.Tusianze kuleta mkumbo kwa thinkable things, ili kuonekana kila siku ikipita basi ipite kwa "TAMKO".Better for Heche to undergo research and come up with vivid success for those Youth Banks established in the World if not African Continent as a case study to convince.Hivi vitu si kuanzisha tu,tunahitaji kuzingatia wataalam wenyewe na sio kauli za kisiasa on the table all the time.

Vile vile anapaswa kutambua madhumuni ya riba (kubwa ama ndogo) ni kuhakikisha Bank haipati/inapunguza hasara in case some borrowers wakishindwa kulipa mbali na kuwa sehemu ya faida yao.Hiyo benki ya Riba ndogo anatarajia itakuwa productive for the survival of that bank whatever you can call it? labda assumption iwe kwamba -Hakuna Risk,Uchumi unakuwa sambamba na kipato cha vijana hao,vijana wote watalipa mikopo yao na kwa wakati.Otherwise ni ''siasa'' tu za CCM na CDM wanaigiza kama CCM.

Serikali inaweza kumeji vizuri zaidi mikopo kupitia benki ya vijana, kuliko mabilioni ya nanihii. Sio lazima iwe na a big financial sustainability. inaweza ikawa na big national impact kwa vijana, ila isiwe chini ya CCM. subsidy zipo duniani kote, kuna grey areas. lakini usinitukane, mi nachangia tu.
 
From: Salmin Dauda (ymicrofinance@yahoo.com)*

To:
shigela2001@yahoo.com;*

Date:
Thu, June 16, 2011 12:56:02 PM*

Cc:
mkirikiti@yahoo.com; ymicrofinance@yahoo.com;*

Subject:
Fw: Re: Youth Bank Business Plan and TYB SACCOS*

Tafadhali pokea Business Plan yaTanzania Youth Bank kwa ufupi ina maelezo kama*
yafuatayo:*

1.Mradi mzima utahitaji mtaji wa Tsh.500m na tutaanza kama Non Bank Financial Institution*
hapo01 Jan.2012.*

2.Ndani ya miaka mitatu yaani kabla ya 2015 tutakuwa tumefungua branch moja moja katika*
kilakanda kwa kufuata jiografia ya nchi yetu.*

3.Katika kufanikisha Mradi huu,Tunahitaji kila Wilaya kuanzishwa SACCOS ya Vijana tunaiita*
TYB District Youth SACCOS PIA kilaCHUO KIKUU kitakuwa na SACCOS yake. Viongozi wa*
SACCOS watachaguliwa na Vijana isipokuwa Manager wa SACCOS ataajiriwa na TYB moja*
kwa moja,PIA KATIBU UVCCM Wilaya inapendekezwa aingie moja kwa moja kwenye Bodi ya*
SACCOS kuhakikisha maagizo ya UVCCM yanaingia moja kwa moja kwa maslahi yaChama.*

4.Kila Mkoa kutaanzishwa REGIONAL YOUTH INVESTMENT COMMITTEE itakayoongozwa*
na Katibu UVCCM Mkoa ambapo wajumbe ni Viongozi Watatu Watatu kutoka Kila Saccos ya*
Wilaya. Madhumuni ya Committee hii ni kuhakikisha mazao yote yanayozalishwa na Vijana*
yananunuliwa kwa mkopo wa Benki na Kuuzwa.Kuingia mikataba mbalimbali ya viwanda*
vidogovidogo*
*
CHADEMA WAME INVEST KWA VIJANA KWA POROJO NA UNAFKI SISI TUMEINVEST*
PRACTICALLY NA NINA UHAKIKA PROGRAMU HII IKIANZA VIJANA WOTE WATARUDI*
KWETU UPYA.*
*
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI*
*
Salmin Dauda*
Page1 of1*
Print*
6/22/2011*
http://us.mg4.mail.yahoo.com/dc/launch?.gx=1&.rand=2fp9ho14c9ifc

Mabepari uchwara, tangu lini ukaweka itikadi katika kuanzisha benki. uzuri ni kwamba miradi yote ya CCM inakufa tu. Kwenye pesa hampo, labda za epa.
 
Is it kuendelea kuwa na matamko yasiyo na tija.Utawala wa Kibenki si sawa na Saccos ambayo haina direct touch na CBT.Nadhani katika tamko lake alipaswa atueleze ni wapi na katika nchi gani Benki ya Vijana ipo na imesaidia nini vijana hao katika suala la Ajira na Uchumi?.Tusianze kuleta mkumbo kwa thinkable things, ili kuonekana kila siku ikipita basi ipite kwa "TAMKO".

Better for Heche to undergo research and come up with vivid success for those Youth Banks established in the World if not African Continent as a case study to convince.Hivi vitu si kuanzisha tu,tunahitaji kuzingatia wataalam wenyewe na sio kauli za kisiasa on the table all the time.

Vile vile anapaswa kutambua madhumuni ya riba (kubwa ama ndogo) ni kuhakikisha Bank haipati/inapunguza hasara in case some borrowers wakishindwa kulipa mbali na kuwa sehemu ya faida yao.

Hiyo benki ya Riba ndogo anatarajia itakuwa productive for the survival of that bank whatever you can call it? labda assumption iwe kwamba -Hakuna Risk,Uchumi unakuwa sambamba na kipato cha vijana hao,vijana wote watalipa mikopo yao na kwa wakati.Otherwise ni ''siasa'' tu za CCM na CDM wanaigiza kama CCM.

Tanzania yetu ni nchi ya ajabu sana,....
NI DHAMBI KUBWA KWA TANZANIA KUWA NA INNOVATIVE THOUGHTS!!!!!

Yaani kila kitu hadi mzungu aanze kwanza,...set yourself free
 
Serikali inaweza kumeji vizuri zaidi mikopo kupitia benki ya vijana, kuliko mabilioni ya nanihii. Sio lazima iwe na a big financial sustainability.
inaweza ikawa na big national impact kwa vijana, ila isiwe chini ya CCM. subsidy zipo duniani kote, kuna grey areas. lakini usinitukane, mi nachangia tu.
<br />
<br />

Hapa Mkuu,mawazo yako ni mema na si tabia yangu kumtusi mtu ila kujali mawazo ya watu hata kama tunatofautiana.
 
Tanzania yetu ni nchi ya ajabu sana,....<br />
NI DHAMBI KUBWA KWA TANZANIA KUWA NA INNOVATIVE THOUGHTS!!!!!<br />
<br /
>
Yaani kila kitu hadi mzungu aanze kwanza,...set yourself free
<br />
<br />

Hoja yako nzuri,ila ni vingapi tumevianzisha bila kuiga toka kwa wazungu na vimeleta tija?.Speaker on your age,what an ''innovative thing'' umeifanyia familia yako mbali na Taifa?.Iwapo vipo ulivyobuni,tuletee janvini tuona tunasaidianaje kama si ''copy'' and ''paste''.
 
<br />
<br />

Hoja yako nzuri,ila ni vingapi tumevianzisha bila kuiga toka kwa wazungu na vimeleta tija?.Speaker on your age,what an ''innovative thing'' umeifanyia familia yako mbali na Taifa?.Iwapo vipo ulivyobuni,tuletee janvini tuona tunasaidianaje kama si ''copy'' and ''paste''.

Nimekubali hoja zako kadhaa kama ulivyoziainisha ila hapo kwenye kumtaka maelezo binafsi Speaker ndio sijakuelewa, nadhani inaweza kupunguza uzito wa mtazamo wako.
Je! kwa hoja hiyo ya BAVICHA, na kwa mujibu wako kwamba unataka uonyeshwe nchi ambayo kuna benki ya namna hiyo (maana yake huijui hiyo nchi kama ipo) sawa tufanye kweli hamna hiyo nchi duniani.....
Sasa mkuu hapo bado hujaona hicho unachokiita "innovative thing"???
Kwamba ndio wazo la kwanza litakalo anzia Tanzania kama vijiji vya ujamaa ambavyo saiv vinaitwa "vijiji vya milenia"
HESHIMA Mzazi!!
 
Thank you Heche, Thank you CMD for up bringing, promoting and shaping personalities of the youth in total self determination of youth.

Hivi jamani hawa CCM watarejesha lini viwanja vya umma walivyovipora? na kwanni wasilitambue kuwa ni uhalifu dhidhi ya mali umma? wanasubiri mpaka tuvichukue bila hiari yao? isitoshe leo tunaskia habari ya TYB bado style ni ile ile ya kutumia fedha za umma na kodi za watanzania kuinufaisha chama ambacho hakiwezi kuwatetea wantazania wakati wote huu tangia uhuru 50 yrs now.
Kwa busara za kawaida wanatakiwa kuvirejesha mali walizo pora na walizoshindwa kuziendesha
 
Back
Top Bottom