Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
.......pia mimi nadhani NJAA NI MBAYA SANA,INAUZA UHURU WA TAMBWE HIZZA
G,
Njaa na choo ni vitu hatari sana na havina adabu. Usipokuwa mwangalifu vinaweza kukuvunjia heshima mbele za watu. Ila njaa ukiiendekeza inakuwa hatari kuliko scud kwa sababu hata mwanamume anaweza kuolewa ili mradi apate mulo.
Jamaa yuko kazini na kwa hiyo sioni kama kuna sababu ya kupoteza muda wetu. Tumwache yeye na wenzake (Makamba na Babu Fisadi Kingunge) wafukuze moshi. Sisi tuendelee kushughulika na moto!