Zed
JF-Expert Member
- Mar 28, 2009
- 434
- 252
So wananchi wakiwakataa CCM kwa kutowapigia kura basi wao watadai wabunge wao wakuteuliwa kutoka majimbo mengine wamehamia kwenye mkoa huo na hivyo kuchukua uongozi wa halmashauri ya majimbo hayo. Ama kweli hii ni demokrasia ya majuha na kama ni hivyo basi Katiba inayosimamia demokrasia ya namna hiyo ni yakuondolewa kabisa! Tambwe anatetea ujuha!
Last edited by a moderator: