Ernesto Che
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 1,114
- 293
Well said, Hizza katika jamii ya Tanzania ni nani mpaka aongelee mambo ya Chadema. CDM ni mfupa uliomshinda fisi (JK) yeye mbwa koko ataweza wapi? Watanganyika wameamua not about Slaa only, Slaa anatuongoza ktk mapambazo we Hizza mpuuzi kaa ujue hilo. Propaganda inahitaji watu waliobobea siasa sio wewe mchovu. Watu kama Kingunge, Kinana n.k. we hata CUF ulishindwa sasa leo una jipya. nende shule upate maarifa ya kuongea na watu.