Steve Dii
JF-Expert Member
- Jun 25, 2007
- 6,402
- 1,254
Yep ni Tambaza. Kwani kuna shule gani tena nyingine inafua dafu?! Come on pipo, let's be honest...
Naongelea Tambaza Sec. School. Shule iliyotoa watawala wengi wa nchi hii. Shule iliyokuwa na waalimu mashuhuri Dar na Tanzania nzima. Tambaza ile ya kitambo. Enzi za akina mwalimu Dafa. Tuition zote bongo mashuhuri zilikuwa Tambaza. Hata Azania (tuliokuwa tunawapa mkong'oto kila tulipohitaji ku-release stimu kindondi) walikuwa wanatusifia kwa waalimu walio makini. Hata baadhi ya watoto wa IST walikuwa wanakuja kupigwa msasa wa tuition hapo. Though sikupata mwona Yo Yo na IST yake ya kufikirika!
Zanaki walikuwa mashori wetu. But kwa vile Tambazec ilikuwa taifa kubwa, tulikuwa hatuna upinzani hata pale tulipoamua kwenda kwa ngamia Jangwani (Azania simply couldn't square up to us). Forodhani watoto wa mama walikuwa wanatuachia njia tunapita huku mademu wao waki scream in excitement kana music fans kwenye concert ya MJ (RIP).
Watoto wa Misufuni Kinondoni pamoja na kujifanya watoto wa mjini bado walikuwa wananawa mikono wakituona. Zile kaptula za grey zilikuwa noma bana wee acha tu. Makonda wa mabasi hao ndiyo kabisaaa sitaongelea mengi kwa hawa. Maana hatuchelewi kuanza ibua mamabo ya akina Puza (RIP) na akina Nyau na akina Chuwa!! By the way hii ni ile Tambaza kama watoto wa mjini.
Tambaza kama wana academia pia ni kiwingu cha masafa ya mbali. History has it. Hamna ubishi katika hili. In fact, tangu enzi zile za 60s, 70s, 80s, hata hiyo 90s niliyosoma mimi Tambaza ni moto wa kuotea mbali kielimu, muulizeni Jasusi shahidi wetu wa enzi hizo hapa JF. Of course, mambo yalianza kuwa neutralised a bit hapo mid 90s, pale shule ilipoanza kuchanganywa na mademu na baada ya fujo spill out of control nakupelekea shule kufungwa kwa muda.
Btw kaptula yangu ya Daruweshi bado ninayo. Hebu ngoja nikanyonye picha kutoka kwenye blog ya kaka Mjengwa. Ni alumna mmojawapo huyu, alinitangulia aka kadhaa hivi... lol. Leteni mapicha mengineyo tukumbushane Taifa Kubwa la Tambaza wajomba! Ayeya!
Naongelea Tambaza Sec. School. Shule iliyotoa watawala wengi wa nchi hii. Shule iliyokuwa na waalimu mashuhuri Dar na Tanzania nzima. Tambaza ile ya kitambo. Enzi za akina mwalimu Dafa. Tuition zote bongo mashuhuri zilikuwa Tambaza. Hata Azania (tuliokuwa tunawapa mkong'oto kila tulipohitaji ku-release stimu kindondi) walikuwa wanatusifia kwa waalimu walio makini. Hata baadhi ya watoto wa IST walikuwa wanakuja kupigwa msasa wa tuition hapo. Though sikupata mwona Yo Yo na IST yake ya kufikirika!
Zanaki walikuwa mashori wetu. But kwa vile Tambazec ilikuwa taifa kubwa, tulikuwa hatuna upinzani hata pale tulipoamua kwenda kwa ngamia Jangwani (Azania simply couldn't square up to us). Forodhani watoto wa mama walikuwa wanatuachia njia tunapita huku mademu wao waki scream in excitement kana music fans kwenye concert ya MJ (RIP).
Watoto wa Misufuni Kinondoni pamoja na kujifanya watoto wa mjini bado walikuwa wananawa mikono wakituona. Zile kaptula za grey zilikuwa noma bana wee acha tu. Makonda wa mabasi hao ndiyo kabisaaa sitaongelea mengi kwa hawa. Maana hatuchelewi kuanza ibua mamabo ya akina Puza (RIP) na akina Nyau na akina Chuwa!! By the way hii ni ile Tambaza kama watoto wa mjini.
Tambaza kama wana academia pia ni kiwingu cha masafa ya mbali. History has it. Hamna ubishi katika hili. In fact, tangu enzi zile za 60s, 70s, 80s, hata hiyo 90s niliyosoma mimi Tambaza ni moto wa kuotea mbali kielimu, muulizeni Jasusi shahidi wetu wa enzi hizo hapa JF. Of course, mambo yalianza kuwa neutralised a bit hapo mid 90s, pale shule ilipoanza kuchanganywa na mademu na baada ya fujo spill out of control nakupelekea shule kufungwa kwa muda.
Btw kaptula yangu ya Daruweshi bado ninayo. Hebu ngoja nikanyonye picha kutoka kwenye blog ya kaka Mjengwa. Ni alumna mmojawapo huyu, alinitangulia aka kadhaa hivi... lol. Leteni mapicha mengineyo tukumbushane Taifa Kubwa la Tambaza wajomba! Ayeya!