Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,301
- 4,681
Umati ni mkubwa uliohudhuria shughuli za kumpa heshima za mwisho mwanamuziki maarufu hapa nchini Hayati Ramadhani Mtoro maarufu kama Dakta Remmy.
Ni majonzi, vilio na simanzi vilitawala mahali hapa lakini pia faraja toka kwa watu mbalimbali zimekuwa zikiwafikia watu woote walioonekana kuwa na maumivu moyoni...
''kazi yake mola haina makosa''
''bwana ametoa na bwana ametoa so msilie''
''cha msingi ni kumuombea ili akapate kupumzika kwa amani''
Hayo ni baadhi ya maneno yaliyosikika kuwafariji wafiwa.
Hakika ni hudhuni kila kona ya mahali hapa...
Ni majonzi, vilio na simanzi vilitawala mahali hapa lakini pia faraja toka kwa watu mbalimbali zimekuwa zikiwafikia watu woote walioonekana kuwa na maumivu moyoni...
''kazi yake mola haina makosa''
''bwana ametoa na bwana ametoa so msilie''
''cha msingi ni kumuombea ili akapate kupumzika kwa amani''
Hayo ni baadhi ya maneno yaliyosikika kuwafariji wafiwa.
Hakika ni hudhuni kila kona ya mahali hapa...