Tamasha la jinsia, lilifunguliwa jana kwenye viwanja wa TGNP. Nashangaa kimya hakuna anayetupasha juu ya TAMASHA hili. Jana nilikwenda na leo nimekwenda. Kuna mada nzuri na za kufikirisha. Bado siku zipo, hadi Ijumaa. Twendeni tujadiliane na kupanuana mawazo!
Mkuu, tamasha kama hilo ni kupoteza muda asilani.Wanawake wengi walioamua kujikita katika matamasha kama hayo ya kujidai kudai haki zao wameishia kuvunja ndoa zao na kubaki wanaharakati, siwapendi haooo!