Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
thats possible
lakini hawa wenye special interest hawawezi kukubali hilo
lakini hawa wenye special interest hawawezi kukubali hilo
Carbon-neutral goal for Maldives
Beach in the Maldives
One-third of the Maldives' economy depends on tourism
The Maldives will become carbon-neutral within a decade by switching completely to renewable energy sources like wind and solar power, its leader has said.
wataalam tunao na binafsi nilikutana nao pale Tanesco. Kishoka this is a good thread
....................................................
..............................................
On a flip side hivi unajua nani aliweka zile wind turbines kule Singida? na ni nani alifund that project?
.................................
We need T.Boone Pickens....
Unaweza kuwa upande wa Kishoka vyovyote utakavyo (kwanza haya si mashindano na hata kama ni mashindano sitegemei uwe on my side), point yangu ni simpo sana....tatizo si utaalamu, bali waroho wa 10% ambao wengi wao ni mangwini!!! Isitoshe, technologia ya wind power sio ngumu kama unavyotaka kutishia watu hapa...hata kama wataalamu wa Tanesco hawajui, basi vikozi vya miezi sita vinaweza kufanya tofauti kubwa mno.....
Sasa hiyo article ya Maldive nani amefanya waweze?? Na nani anafanya sisi Tanzania tushindwe?? Ukielewa hapo basi ndio mzizi wa point yangu!!! Mangwini wasikilize wataalamu, waache uroho wa 10% then kila kitu kinawezekana ktk Tanzania.
Jumatatu njema!
Tatizo ni kuwa hao unaowaita wataalamu hawasemi na sio kuwa hawasikilizwi! Lini umesikia mtaalamu amejiuzulu kwa sababu ushauri wake haukusikilizwa. Wataalamu wetu wamejiunga na wanasiasa kiasi ambacho hauwezi kuwatofautisha. Wao nao wako katika mkao wa kula kama walivyo hao uliowashikia bango! Badala ya ushauri wanasema kile ambacho wanadhani wakuu wao wangependa kusikia. Wao nao ni sehemu ya tatizo na si solution! So called wataalmu tumeji-prostitute kwa kupenda vyeo na rupia!
Wind energy ni sehemu tu ya possible solution. Tunahitaji watu watakaoweza kuangalia picha yote na kuangalia wapi tuelekee. Utaalamu tunahitaji si wa kutengeneza mapanga boi au majiko ya kutumia jua bali ni ule wa kuanganisha yote haya kuwa policy! Tunahitaji visionaries zaidi ya mafundi mchundo.
Tofauti na unavyopenda kufikiri, sina ugomvi na wewe. Kwenye ishu hii, arguments za Mchungaji zimenivutia kuliko za kwako. Ni hilo tuu
Amandla........
Una amini kabisa kwamba Tanesco hawana habari za mikutano hii....!!? Kama ma-injinia wa kibongo hawatakuwepo huko Jo'burg na/au Chi-town basi ni kwasababu "mangwini" wamekataa kutoa funds za wao kusafiri na kujikimu wakti wakiwa ktk mikutano hii na si vinginevyo!!
Opinion yako...na sijui umeyatowa wapi hayo maneno!! Mie sijasema!
Cupcake kakutosa nini!?.
We need T.Boone Pickens....