Kwanza nawapongeza sana Viongozi wa SIMBA kwa kufanikisha Tamasha lao lilofanyika tarehe 8 mwezi wa 8 mwaka huu katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar Es Salaam, ila nimeshangazwa sana na watu walizawadiwa katika tamasha ilo na kuacha waliostaili kwa mfano Kocha Abdallah Kibaden(King), Azim Dewji,Mzee Rashid Mfaume Kawawa, Marehemu Mzee Amir Ali Mbamchawi, Mohamed Mwameja, Mzee Mwilima, na kuwazawadia watu kama Pro. Juma Kapuya, Nyange Kaburu,