mwanamke daima aliubwa kumfurahisha mwanaume hivyo hapo walipo wanatimiza jukumu lao,wacha wasifu uumbaji
Tatizo liko wapi hapo na nyinyi bana aaah...mbona hamsemagi kitu kuhusu wale wasichana wa Mfalme Mswati....
Loh! watoto wazuri hawa nashindwa hata nichague yupi niache yupi...hebu weka picha zaidi bana