babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 13,087
- 15,981
nasikia kuna mrembo wetu mmoja huko u.s nae alijidunga hii akafanikisha,ana vinundu vizuri huku nyuma
nasikia kuna mrembo wetu mmoja huko u.s nae alijidunga hii akafanikisha,ana vinundu vizuri huku nyuma
nasikia hakatizi karibu na moto:laugh::laugh::laugh:
he he heee,hata mie niliskia,ya kweli lakini?shosti nataka kuhamia tanga mie
Twakukaribisha babu k,ila angalia usijesahau familia:coffee:
shostiii......
waukweliiiii.....
aaah nakuja,kama familia nshaisahau long time,nipokee hapo kituo cha basi kesho ntaingia na bembea la mchana:roll:Twakukaribisha babu k,ila angalia usijesahau familia:coffee:
naja leo siondoki habibiii.waja leo waondoka leo au:coffee:
naja leo siondoki habibiii.